Ushauri: Kabeba mimba ya mume wa mtu, afanyaje?

Ushauri: Kabeba mimba ya mume wa mtu, afanyaje?

Azae mtoto....dunia ya sasa ni rahisi sana kumwajibisha mwanaume, kwasababu ya hizi taasisi za kutetetea haki.....

Akishazaa nakuhakikishia akiamua kumwajibisha huyo mwanaume alee mtoto, hakuna kitakachofeli 100%
 
Huyo Dada amefanya kusudi kumbebea mimba huyo Mume wa Mtu, inaonekana makubaliano ya Mwanzo ya mahusiano yao ilikuwa kwaajili ya Kufurahishana tu (Pleasures).

Wadada sio mahusiano yote yatakufikisha kwenye Ndoa/Kuwa Wazazi pamoja, vizuri kuelewa terms and Conditions kabla hujaingia kwenye hayo mahusiano
 
Huyo Dada amefanya kusudi kumbebea mimba huyo Mume wa Mtu, inaonekana makubaliano ya Mwanzo ya mahusiano yao ilikuwa kwaajili ya Kufurahishana tu (Pleasures).

Wadada sio mahusiano yote yatakufikisha kwenye Ndoa/Kuwa Wazazi pamoja, vizuri kuelewa terms and Conditions kabla hujaingia kwenye hayo mahusiano
vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Yuko na mimba ya married man na anainsist atoe cause he says he is not ready for child support.

She doesn't want to kill an innocent baby because of consequences of sex, please she need sober advice what should she do?

The guy is a government employee so hawezi sema, ameenda mjengo kibarua ikakosekana.
Another single mother in making

Mshauri asiitoe na akishajifungua adai matumizi kupitia ustawi wa jamii
 
Back
Top Bottom