GAS STATE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,770
- 956
Assalam wakuu,
Nnimehitimu B Degree ya Finance and Banking (3.6 GPA) miaka kadhaa iliyopita na sasa niko private firm nasukuma gurudumu kibishi as accountant. Kutokana na salary kuwa kiduchuuu, mzee kanipa offer nikasome Masters nje, so hapa nawaza nikasomee nini chenye kunitoa mjini hapa kati ya zifuatazo:
1) Accounting and Finance
2) Islamic Finance and Banking
3) Msc in Finance
Wakuu, nipeni ushauri ili nitoe tongotongo hizi tafadhali.
Nnimehitimu B Degree ya Finance and Banking (3.6 GPA) miaka kadhaa iliyopita na sasa niko private firm nasukuma gurudumu kibishi as accountant. Kutokana na salary kuwa kiduchuuu, mzee kanipa offer nikasome Masters nje, so hapa nawaza nikasomee nini chenye kunitoa mjini hapa kati ya zifuatazo:
1) Accounting and Finance
2) Islamic Finance and Banking
3) Msc in Finance
Wakuu, nipeni ushauri ili nitoe tongotongo hizi tafadhali.

