jamani naombeni ushauri naona kama yatafika ukingoni halafu nisifurukute niliajiriwa serikalini katika halmashauri moja hv nimefanya kazi mwaka nikaacha nikafanyia private nikaomba muh2 nikapata sasa nafanyia hapo.
Je, nauliza kuhusu payrol haijtaleta mkanganyiko japo nina mwk tangu niache na walisha hakiki wafanyakazi waliopo ushauri please niendelee au napoteza muda
Je, nauliza kuhusu payrol haijtaleta mkanganyiko japo nina mwk tangu niache na walisha hakiki wafanyakazi waliopo ushauri please niendelee au napoteza muda