Msomi wa std 7 huyo kaandika hivyo, vizuri tu, kaweza!
Tafuta maandiko ya graduates ambao wanafanyiwa kila kitu, wanatengenezewa mpaka CVs, kisha uone kama Harmo atakuwa tofauti nao!
Kiswahili tu ni mtihani mkubwa, sio kwenye kuongea wala kuandika...ndio ije kuwa hiyo ya mkoloni!