Ushauri: Dr W Slaa bado unahitaji wanawake

Ushauri: Dr W Slaa bado unahitaji wanawake

sixgates

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
3,979
Reaction score
1,667
Dr W Slaa,

Nina ushauri kwako. 2014 tunaelekea kwenye chaguzi za serikali za mitaa, na 2015 tunaelekea katika uchaguzi mkuu (kama katiba itakuwa imekamilika). Lakini lazma utambue ili chama chako kishinde hakihitaji tuu wanachama wake, la hasha mnaihitaji CCM, mnaihitaji CUF na hata wale wasio na vyama (in short mnahitaji majority)

Tatizo lililopo hapa nchini ni uelewa na siasa zimefanywa uadui, sikuhizi akipita mtu amevaa tshit ya CCM anatukanwa, anabezwa. Chadema hata hapa JF kuna a certain sterio-type kwamba mtu yoyote kijana aliyepo CCM anaonekana "mjinga",wengine wanasema kuwepo CCM lazma uwe na "akili za maiti". Huku mtaani kwangu vijana wa chadema wanadharau mtu aliyepo CCM. Mbaya kuliko zote sterio-type inaendelea hadi kwenye level ya jinsia. Chadema haina aina ya wanawake wahamasishaji na hata hamuoni kuwa chadema kimekosa wanawake wenye ushawishi kw wanawake wengine. Aina ya wanawake waliopo chadema ni tofauti kabisa na wale waliopo ccm. Ukweli Bawacha inahitaji kujipanga sana (hawa wataikomboa chadema sababu bado hiki chama hakiaminiki sana na wanawake kama wapo ni wale middle class/kidogo waliosoma)..mnahitaji aina ya wanawake kama waliopo CCM..nyie mtawaona kama "mashankupe" lakini ndio aina ya watanzania hao na ndio wanawake wengi wahamasishaji wa kitanzania walivyo.

Chadema mmekuwa na utaratibu wa kushtaki serikali kwa umma. Na sasa anzisheni kampeni za kuzunguka nchi nzima kuishataki CCM kwa wanachama wake, waje wamevaa tshirt zao bila kuwabugudhiwa mukishtaki chama chao. Sio kila siku mnaitisha mikutano ya wanachama wenu kuisema CCM.."Kwa sasa mnahitaji wanaCCM sababu wanaCHADEMA mnao mkononi"

Inawezekana kabisa kwani km unamfahamu yupo kijana anaitwa KAMANDA MAWAZO ni mwanaharakati wa chadema aliwahi kufika hapa Mwanza akaaitisha mkutano akaomba akutane na wanaCCM alipata mwitikio sana japo bAada ya mkutano kuna baadhi ya viongozi wa CCM wanasema wale waliohudhuria ule mkutano ni wanachadema waliokuwa wamevaa sare za CCM but he made a point kuwa hana uadui na wanaCCM na amezidi kukubalika huku kanda ya ziwa.

Mwisho nimetoa tu ushauri!!
 
mwambi babu aoe kwanza tunaogopa kuwaleta wake zetu wasije waka.....be...stolen.
 
Hakuna demokrasia kwa wanawake hata uchaguzi wa viti maalum ushahidi upo wamepeana watoto,wake na dada zao tu sasa nani aende
 
mwambi babu aoe kwanza tunaogopa kuwaleta wake zetu wasije waka.....be...stolen.

Kajiozeshe kwa mkuu wa waliberali make inaonekana unachowaza ni 73go unaacha mada unawaza, hao bosi zako unafahamu idadi ya wake zao?
 
Ushauri ni mzuri, lakini ngoja sasa waje hapa wale uliosema wenye akili za maiti utaona mitusi yake! Ndo yanayowaweka mjini maana nasikia kule Lumumba, tusi moja kwa Dr. Slaa ni buku 10. Tusi la jumla kwa Chadema ni buku 7.
 
Hakuna demokrasia kwa wanawake hata uchaguzi wa viti maalum ushahidi upo wamepeana watoto,wake na dada zao tu sasa nani aende

Mkuu kama walifuata katiba, taratibu na kanuni za kuwapata hao wa viti maalumu hata ingekuwa familia nzima. Sasa kama mtu ana vigezo aachwe?
 
Ushauri ni mzuri, lakini ngoja sasa waje hapa wale uliosema wenye akili za maiti utaona mitusi yake! Ndo yanayowaweka mjini maana nasikia kule Lumumba, tusi moja kwa Dr. Slaa ni buku 10. Tusi la jumla kwa Chadema ni buku 7.

C.C to Ritz, hamy D, chama, scramble et al . .
 
Last edited by a moderator:
busara ya kuwa handle wanawake haipo ndani ya cdm haipo kwa sababu ya kashfa zifuatazo
1.mbowe__kuna mtu bungeni__ katunguliwa mimba (tuhuma)
2.lema_kule uingereza kesi iko ubaoni (ubakaji)
3.slaa_habari bure.
 
busara ya kuwa handle wanawake haipo ndani ya cdm haipo kwa sababu ya kashfa zifuatazo
1.mbowe__kuna mtu bungeni__ katunguliwa mimba (tuhuma)
2.lema_kule uingereza kesi iko ubaoni (ubakaji)
3.slaa_habari bure.

naomba tusiongee ndani ya ccm ni aibu sana
 
It is a must condition that kuwa CCM lazima huna akili, it is a must, kama wanasema wanaakili waseme wamefanya nini serikali ya awamu ya 4? kila kitu hovyo ndani na nje ya nchi ni hovyo tu, unapewa vyandarua rais mzima? rubbish na ujinga mkubwa.
 
Sema ipo wapi? Lipumba, Mandela, Nyerere, Kawawa, Karume, Zuma, Jakaya, Wanawake???? CCM ni aibu kuliko chama chochote; mkitaka vyeo lazima na nyinyi mkubali kuliwa kidogo.
 
Ushauri mzuri ila sidhani kama hiyo title ilikua necessary.Pia unaandika kama vile unamlenga Dr.Slaa personally.
 
Ni ushauri mzuri,lakini pia nakupongeza kwa kueleza na kukiri ukweli kuwa ccm haikubaliki iwe maofisni,vilabuni,vijiweni nk
Mkuu kichwa thread kibadilishe kidogo
 
Back
Top Bottom