sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
Dr W Slaa,
Nina ushauri kwako. 2014 tunaelekea kwenye chaguzi za serikali za mitaa, na 2015 tunaelekea katika uchaguzi mkuu (kama katiba itakuwa imekamilika). Lakini lazma utambue ili chama chako kishinde hakihitaji tuu wanachama wake, la hasha mnaihitaji CCM, mnaihitaji CUF na hata wale wasio na vyama (in short mnahitaji majority)
Tatizo lililopo hapa nchini ni uelewa na siasa zimefanywa uadui, sikuhizi akipita mtu amevaa tshit ya CCM anatukanwa, anabezwa. Chadema hata hapa JF kuna a certain sterio-type kwamba mtu yoyote kijana aliyepo CCM anaonekana "mjinga",wengine wanasema kuwepo CCM lazma uwe na "akili za maiti". Huku mtaani kwangu vijana wa chadema wanadharau mtu aliyepo CCM. Mbaya kuliko zote sterio-type inaendelea hadi kwenye level ya jinsia. Chadema haina aina ya wanawake wahamasishaji na hata hamuoni kuwa chadema kimekosa wanawake wenye ushawishi kw wanawake wengine. Aina ya wanawake waliopo chadema ni tofauti kabisa na wale waliopo ccm. Ukweli Bawacha inahitaji kujipanga sana (hawa wataikomboa chadema sababu bado hiki chama hakiaminiki sana na wanawake kama wapo ni wale middle class/kidogo waliosoma)..mnahitaji aina ya wanawake kama waliopo CCM..nyie mtawaona kama "mashankupe" lakini ndio aina ya watanzania hao na ndio wanawake wengi wahamasishaji wa kitanzania walivyo.
Chadema mmekuwa na utaratibu wa kushtaki serikali kwa umma. Na sasa anzisheni kampeni za kuzunguka nchi nzima kuishataki CCM kwa wanachama wake, waje wamevaa tshirt zao bila kuwabugudhiwa mukishtaki chama chao. Sio kila siku mnaitisha mikutano ya wanachama wenu kuisema CCM.."Kwa sasa mnahitaji wanaCCM sababu wanaCHADEMA mnao mkononi"
Inawezekana kabisa kwani km unamfahamu yupo kijana anaitwa KAMANDA MAWAZO ni mwanaharakati wa chadema aliwahi kufika hapa Mwanza akaaitisha mkutano akaomba akutane na wanaCCM alipata mwitikio sana japo bAada ya mkutano kuna baadhi ya viongozi wa CCM wanasema wale waliohudhuria ule mkutano ni wanachadema waliokuwa wamevaa sare za CCM but he made a point kuwa hana uadui na wanaCCM na amezidi kukubalika huku kanda ya ziwa.
Mwisho nimetoa tu ushauri!!
Nina ushauri kwako. 2014 tunaelekea kwenye chaguzi za serikali za mitaa, na 2015 tunaelekea katika uchaguzi mkuu (kama katiba itakuwa imekamilika). Lakini lazma utambue ili chama chako kishinde hakihitaji tuu wanachama wake, la hasha mnaihitaji CCM, mnaihitaji CUF na hata wale wasio na vyama (in short mnahitaji majority)
Tatizo lililopo hapa nchini ni uelewa na siasa zimefanywa uadui, sikuhizi akipita mtu amevaa tshit ya CCM anatukanwa, anabezwa. Chadema hata hapa JF kuna a certain sterio-type kwamba mtu yoyote kijana aliyepo CCM anaonekana "mjinga",wengine wanasema kuwepo CCM lazma uwe na "akili za maiti". Huku mtaani kwangu vijana wa chadema wanadharau mtu aliyepo CCM. Mbaya kuliko zote sterio-type inaendelea hadi kwenye level ya jinsia. Chadema haina aina ya wanawake wahamasishaji na hata hamuoni kuwa chadema kimekosa wanawake wenye ushawishi kw wanawake wengine. Aina ya wanawake waliopo chadema ni tofauti kabisa na wale waliopo ccm. Ukweli Bawacha inahitaji kujipanga sana (hawa wataikomboa chadema sababu bado hiki chama hakiaminiki sana na wanawake kama wapo ni wale middle class/kidogo waliosoma)..mnahitaji aina ya wanawake kama waliopo CCM..nyie mtawaona kama "mashankupe" lakini ndio aina ya watanzania hao na ndio wanawake wengi wahamasishaji wa kitanzania walivyo.
Chadema mmekuwa na utaratibu wa kushtaki serikali kwa umma. Na sasa anzisheni kampeni za kuzunguka nchi nzima kuishataki CCM kwa wanachama wake, waje wamevaa tshirt zao bila kuwabugudhiwa mukishtaki chama chao. Sio kila siku mnaitisha mikutano ya wanachama wenu kuisema CCM.."Kwa sasa mnahitaji wanaCCM sababu wanaCHADEMA mnao mkononi"
Inawezekana kabisa kwani km unamfahamu yupo kijana anaitwa KAMANDA MAWAZO ni mwanaharakati wa chadema aliwahi kufika hapa Mwanza akaaitisha mkutano akaomba akutane na wanaCCM alipata mwitikio sana japo bAada ya mkutano kuna baadhi ya viongozi wa CCM wanasema wale waliohudhuria ule mkutano ni wanachadema waliokuwa wamevaa sare za CCM but he made a point kuwa hana uadui na wanaCCM na amezidi kukubalika huku kanda ya ziwa.
Mwisho nimetoa tu ushauri!!