Hizi akili zenu za wafu tafuteni kwa kuzipeleka; ushauri wa slaa mpelekee pale mtaa Togo hili jamvi analiogopa sana hatii mguu humu kuna uwezekano mkubwa ushauri wako watu wakauchambia hauna maana hata chembe!
Last edited by a moderator:
Ushauri mzuri ila sidhani kama hiyo title ilikua necessary.Pia unaandika kama vile unamlenga Dr.Slaa personally.
Kajiozeshe kwa mkuu wa waliberali make inaonekana unachowaza ni 73go unaacha mada unawaza, hao bosi zako unafahamu idadi ya wake zao?