Ushauri: Chalamila aondolewe Dar es Salaam, Atasababisha Machafuko

Ushauri: Chalamila aondolewe Dar es Salaam, Atasababisha Machafuko

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,569
Reaction score
284,101
Natoa ushauri kwa Mamlaka ya Uteuzi kwamba, ipo haja ya dharula ya kumuondoa Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila baada ya Kushindwa kutumia Ushawishi kumaliza mgomo wa Wafanyabiasha wa Dar es Salaam na badala yake anatoa vitisho.

Screenshot_2024-06-24-14-10-17-1.png


Mgomo wa Wafanyabiashara hautamalizwa kwa vitisho vya namna yoyote ile, hii kwa sababu Biashara za watu ndio Maisha yao, ndio uwekezaji wao, ni mitaji yao, walizianzisha wao wenyewe kwa kufuata sheria za nchi, sasa zinapochomekwa sheria za mfukoni wafanyabiashara hawatakubali hata ikibidi kwa gharama ya damu

Cheo alichonacho Chalamila ni dhamana ya hisani tu, tena ni dhamana ya muda mfupi mno, anapaswa kutenda haki, Amos Makalla tulihakikisha ang'olewa Dar es Salaam kwa mambo haya haya anayoleta leo Chalamila, Taarifa tulizonazo ni kwamba Chalamila hajawahi kufanya biashara hata ya kuuza Mapera, kwahiyo hajui lolote kuhusu matatizo ya Wafanyabiashara, huyu alikuwa Mwl tu na baadaye akaanza kupewa hivi vyeo, anapaswa kuangalia na kufikiri kwa kina kuhusu jambo hili na hasa akizingatia kwamba Serikali yake imeshindwa kufanya biashara yoyote kutokana na changamoto, SGR, BANDARI, MWENDOKASI na Mashirika kadhaa ya umma uwe mfano kwake, Chama chake cha CCM kimeshindwa kuendeleza SUKITA , kikabaki kupora mali za Umma na kujimilikisha, vikiwemo viwanja vya soka na Majengo kadhaa

Screenshot_2024-06-24-14-11-35-1.png


Tunashauri Kero na Malalamiko ya Wafanyabiashara yasikilizwe na yatatuliwe, na kwa vile huyu kashindwa basi aletwe mtu mwingine haraka

Screenshot_2024-06-24-14-11-09-1.png
 
Natoa ushauri kwa Mamlaka ya Uteuzi kwamba, ipo haja ya dharula ya kumuondoa Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila baada ya Kushindwa kutumia Ushawishi kumaliza mgomo wa Wafanyabiasha wa Dar es Salaam na badala yake anatoa vitisho.

View attachment 3024750

Mgomo wa Wafanyabiashara hautamalizwa kwa vitisho vya namna yoyote ile, hii kwa sababu Biashara za watu ndio Maisha yao, ndio uwekezaji wao, ni mitaji yao, walizianzisha wao wenyewe kwa kufuata sheria za nchi, sasa zinapochomekwa sheria za mfukoni wafanyabiashara hawatakubali hata ikibidi kwa gharama ya damu

Cheo alichonacho Chalamila ni dhamana ya hisani tu, tena ni dhamana ya muda mfupi mno, anapaswa kutenda haki, Amos Makalla tulihakikisha ang'olewa Dar es Salaam kwa mambo haya haya anayoleta leo Chalamila, Taarifa tulizonazo ni kwamba Chalamila hajawahi kufanya biashara hata ya kuuza Mapera, kwahiyo hajui lolote kuhusu matatizo ya Wafanyabiashara, huyu alikuwa Mwl tu na baadaye akaanza kupewa hivi vyeo, anapaswa kuangalia na kufikiri kwa kina kuhusu jambo hili na hasa akizingatia kwamba Serikali yake imeshindwa kufanya biashara yoyote kutokana na changamoto, SGR, MWENDOKASI na Mashirika kadhaa ya umma uwe mfano kwake, Chama chake cha CCM kimeshindwa kuendeleza SUKITA , kikabaki kupora mali za Umma na kujimilikisha, vikiwemo viwanja vya soka na Majengo kadhaa

View attachment 3024761

Tunashauri Kero na Malalamiko ya Wafanyabiashara yasikilizwe na yatatuliwe, na kwa vile huyu kashindwa basi aletwe mtu mwingine haraka

View attachment 3024765
1. Wewe Ni Nani? Elimu? Wadhifa?

2. Ulimleta wewe Dar es Salaam?
 
Huyu ndezi kauli yake ya leo kuwa anaweza kupeleka jeshi likapigane na wafanyabiashara Kariakoo ni ishara kuwa ameshindwa kazi sasa anataka kuliingiza jeshi kwenye mgogoro na raia. Huyu ndiyo anazidi kuuchochea huu mgogoro.
 
Huyu ndezi kauli yake ya leo kuwa anaweza kupeleka jeshi likapigane na wafanyabiashara Kariakoo ni ishara kuwa ameshindwa kazi sasa anataka kuliingiza jeshi kwenye mgogoro na raia. Huyu ndiyo anazidi kuuchochea huu mgogoro.
Hakuna mgogoro hapo. Tumia japo akili kidogo kuelewa, hata kuendekeza chuki nae
 
Natoa ushauri kwa Mamlaka ya Uteuzi kwamba, ipo haja ya dharula ya kumuondoa Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila baada ya Kushindwa kutumia Ushawishi kumaliza mgomo wa Wafanyabiasha wa Dar es Salaam na badala yake anatoa vitisho.

View attachment 3024750

Mgomo wa Wafanyabiashara hautamalizwa kwa vitisho vya namna yoyote ile, hii kwa sababu Biashara za watu ndio Maisha yao, ndio uwekezaji wao, ni mitaji yao, walizianzisha wao wenyewe kwa kufuata sheria za nchi, sasa zinapochomekwa sheria za mfukoni wafanyabiashara hawatakubali hata ikibidi kwa gharama ya damu

Cheo alichonacho Chalamila ni dhamana ya hisani tu, tena ni dhamana ya muda mfupi mno, anapaswa kutenda haki, Amos Makalla tulihakikisha ang'olewa Dar es Salaam kwa mambo haya haya anayoleta leo Chalamila, Taarifa tulizonazo ni kwamba Chalamila hajawahi kufanya biashara hata ya kuuza Mapera, kwahiyo hajui lolote kuhusu matatizo ya Wafanyabiashara, huyu alikuwa Mwl tu na baadaye akaanza kupewa hivi vyeo, anapaswa kuangalia na kufikiri kwa kina kuhusu jambo hili na hasa akizingatia kwamba Serikali yake imeshindwa kufanya biashara yoyote kutokana na changamoto, SGR, MWENDOKASI na Mashirika kadhaa ya umma uwe mfano kwake, Chama chake cha CCM kimeshindwa kuendeleza SUKITA , kikabaki kupora mali za Umma na kujimilikisha, vikiwemo viwanja vya soka na Majengo kadhaa

View attachment 3024761

Tunashauri Kero na Malalamiko ya Wafanyabiashara yasikilizwe na yatatuliwe, na kwa vile huyu kashindwa basi aletwe mtu mwingine haraka

View attachment 3024765
Makonda 🐼
 
Back
Top Bottom