wameshirili huuAsante Chadema kwa kusikiliza ushauri wangu.
Leo?Nitashangaa kama Chadema watashiriki uchaguzi huu.
Hii thread ni ya mwaka jana, ulikuwa ushauri wa uchaguzi uliopita 13/1 na kweli hawakushiriki.Leo?
Dogo tindo leo imekuwaje?Iwapo cdm wataingia kwenye uchaguzi wowote na mapanga, sime, bunduki nk hapo sawa. Ila eti wao wanauza sera na ushawishi wa kisiasa, ccm wao wanatumia silaha na ukatili wa kutisha achia mbali kulazimisha kutangazwa washindi. Tumeshafahamu na ushahidi upo wazi kwamba ccm haiwezi siasa bali inatumia jeshi kutawala nchi.
Ile kupokea madiwani kwenye hafla ya jeshi ilikuwa ni ushahidi tosha wa hilo. Acha ccm ibaki yenyewe, wananchi wasusie kwa wingi kupiga kura. Hapo wataamua wenyewe washindane kikabila, kikanda na kidini. Halafu huo upuuzi ukishika kasi jeshi nalo litajiingiza kushika madaraka maana nalo litajua taratibu hazifuatwi. Kwenye uamuzi huu tusisikie eti vionngozi wa dini walishauri. Mpaka sasa watu wanauliwa na unyama wote wako kimya.
Dogo tindo leo imekuwaje?