Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
Acha ujinga wewe, kma tz inao wachumi km lipumba, nchemba na wengineo tz isingekuwa maskin namna hii. Nchi ni ya tatu kwa umsiki dunian, halafu we mkigoma unaandika ujinga kuwa mna wachumi, wemesaidia nini tz?. Umaskin unazidi kuongezeka halafu unaandika ulimbwende humu. Acha hizo.
Watu wengine akili kama ya panzi. Ulishaambiwa hakuna kitu kinachoitwa BAJETI MBADALA. Kilichopo ni maoni kuihusu bajeti ya serikali. Wabunge, wasomi, wananchi, vyama vya siasa n.k wanaweza kutoa maoni yao na mapendekezo. CUF pia wanaweza kutoa maoni yao. Kama ameshindwa kukiandalia chama chake atawezaje kuwaandalia wengine?
Duh! sikuaua Prof. Lipumba ana reputation mbaya kwa baadhi ya watu, nilijua Lipumba anakubalika kote bana kumbe sio.
FJM
Kwa hiyo Prof Lipumba hawezi kutoa msaada wowote kwa Chadema? Wakati mwingine ukiangalia unaona hakuna tofauti kati ya Chadema na CCM wote wamejaa ubinafsi, uwezi kumtumia Lema au Sugu kwenye kuandaa bajeti ukamuacha Prof Lipumba.
kuandikia chama chake kivipi?
FJM
Kwa hiyo Prof Lipumba hawezi kutoa msaada wowote kwa Chadema? Wakati mwingine ukiangalia unaona hakuna tofauti kati ya Chadema na CCM wote wamejaa ubinafsi, uwezi kumtumia Lema au Sugu kwenye kuandaa bajeti ukamuacha Prof Lipumba.
Ritz, ya CDM yanakuwasha nini? Ushauri wako wapatie ccm dhaifu.FJM
Kwa hiyo Prof Lipumba hawezi kutoa msaada wowote kwa Chadema? Wakati mwingine ukiangalia unaona hakuna tofauti kati ya Chadema na CCM wote wamejaa ubinafsi, uwezi kumtumia Lema au Sugu kwenye kuandaa bajeti ukamuacha Prof Lipumba.
kutokana na aibu iliyotufika kambi ya upinzani katika kikao cha bajeti kilichomalizika jana, kwa kutengeneza bajeti mbovu na isiyoeleweka, mpaka wabunge wa CCM kuifananisha na bajeti ya Harusi, hii inaonesha kuwa kambi ya upinzani bado hatujajipanga kuongoza serikali na ilhali kambi ya upinzani tunao wachumi wazuri mf. Prof Lipumba kulikuwa na ugumu gani kumshirikisha katika kuandaa Bajeti mbadala? au ndio ubinafsi ule ule unaofanywa na ccm dhidi ya kutowashirikisha wapinzani, Prof kahigi kalisema hili wakati akichangia, serikali inaona ugumu gani kumtumia Prof Lipumba? na upinzani nasi tunafanya yale yale, je? kwa hali hii watanzani tutapata Maendeleo?
Mie naona CCM ndio hawafahamu kama Lipumba katoka Marekani juzi kuwaongoza wachumi wa dunia, wangemtumia yeye, labda hawakumuona kama amerudi.makwesa
acha ubinafsi hujui hiv juzi prof. ametoka marekani akiwa mwenyekiti kuwaongoza wenzake kwa ajili ya uchumi wa dunio au ufaham hilo
Lipumba hawezi kutusaidia cdm wakati kafu yake imefunga ndoa na magambaz
FJM
Kwa hiyo Prof Lipumba hawezi kutoa msaada wowote kwa Chadema? Wakati mwingine ukiangalia unaona hakuna tofauti kati ya Chadema na CCM wote wamejaa ubinafsi, uwezi kumtumia Lema au Sugu kwenye kuandaa bajeti ukamuacha Prof Lipumba.
tatizo hatuwatumii kwa ubinafsi wa viongoz wetu na wakitoa mchango wao hauthaminiwi.hivyo tatizo ni viongozi na sio maprof.
nimeleta hoja tuchangie kwa kuwa ikiwa bajeti ya upinzani ingekuwa ni kishawishi tosha kwa wanainchi kuzidi kuamini wapinzani wana uwezo, Prof Lipumba hii ni taaluma yake na ameishazishauri hata nchi za ulaya, mf. sweden, Denmark na Finland na Dunia, mtu kama ana uwezo apewe sifa zake na apewe kazi azifanye, tuache ubinafsi, na huu ubinafsi ndio unaofanya Taifa hili lisisonge mbele.