Msaada kuna mtu nina mdai pesa 1mil na tuliandikishiana kuwa atalipa kwa hawamu mbili ya kwanza 22 August na ya pili ni 22 September na mashahidi wa pande mbili walikuwepo na kusaini yale makubaliano ila hadi sasa jamaa hajalipa ata sh kumi, mdaiwa ana car wash pia sasa nawaza niende kuchukua moja ya vifaa vyake ili akipata pesa yangu nimrudishie vifaa vyake maana nimeona hawezi tena kunilipa na deni ni la miezi zaidi ya 9 sasa, ushauri wenu wadau ninaumia sn coz ni haki yangu jamaa ananipiga kalenda tu