Scaramanga
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 401
- 539
Kwanza kabisa niwapongeze kwa kuwa na usafiri mzuri na wa uhakika ila niwape ushauri kidogo.
Hata kama ni daraja la Economy tambueni kuna watoto, wazee na wanaohitaji msaada. Tiketi hata za basi siku hizi kuna namba ya siti ila kwenye boti zenu daraja la economy kiukweli mnakose. Boti inajaza kuliko uwezo imekuwa kama daladala watu mnalipa nauli unakuta hakuna nafasi mnasimama na mnakimbilia boti kama daladala za mbagala kweli Azam ndiyo tumefikia huku?
Inasikitisha sana kuona wazee na watoto wanaminywa ili watu waweze kuwahi siti. kwanini kusiwe na mpangilio kama nafasi ni 100 msiuze tiketi tena? mtu kalipa nauli unakuja msimamisha toka mwanzo wa safari hadi mwisho.
Watu wanagombania kuingia kwenye boti kweli ? Hebu tujirekebishe kwenye hili
Hata kama ni daraja la Economy tambueni kuna watoto, wazee na wanaohitaji msaada. Tiketi hata za basi siku hizi kuna namba ya siti ila kwenye boti zenu daraja la economy kiukweli mnakose. Boti inajaza kuliko uwezo imekuwa kama daladala watu mnalipa nauli unakuta hakuna nafasi mnasimama na mnakimbilia boti kama daladala za mbagala kweli Azam ndiyo tumefikia huku?
Inasikitisha sana kuona wazee na watoto wanaminywa ili watu waweze kuwahi siti. kwanini kusiwe na mpangilio kama nafasi ni 100 msiuze tiketi tena? mtu kalipa nauli unakuja msimamisha toka mwanzo wa safari hadi mwisho.
Watu wanagombania kuingia kwenye boti kweli ? Hebu tujirekebishe kwenye hili