Ushauri: Bed is Everything...

Ushauri: Bed is Everything...

Mmmh inategemea na style babu sio kila style mtu akatike. Kujifanya yondo sister mtu ateguke nyonga kisa biringanya 2 au kuna mengine.

Midume yenyewe isiyoridhika
 
Wadada punguzeni uvivu kitandani...Mapenzi
yamekuwa ya ushindani sana kama Simba na
Yanga...Ukipoteza mechi mpinzani atakaa kileleni
kuongoza Ligi.
Tabia za kulala kama unasubiri Sakramenti
haitakupa chochote...Jitume kutetea uhalali wako wa kuwa Mpenzi wa huyo mtu...Mapenzi hayana
kupiga ramli,Manage your bed, vingine ni
Secondary.Mnaoamini Mapenzi hayalindwi na Sex
nawapa pole, Mta-Supp mtihani kabla hamjaanza
testi...Bed is everything!
Character is everything asee... Kama ni hivyo makahaba wangeongoza kuolewa.. Na wangefurahia mapenzi zaidi Kuliko Wengine..
Usichanganye ngono na mapenzi..(It takes a real man to understand that..sio wavulana Kama nyie)

*
 
sisi tunafikiria kuanzisha viwanda nyinyi mnawaza ngono. alaaaaah..!
Kiwanda ndo unakuja kufikiria huku...
Ebu pita Iv.. Hujawahi hata kuwa na Kampuni ya kusambaza karanga ndo ujitie mawazo ya kiwanda..
Haya jenga uzalishe sis tutakuwa wateja...
 
Ngoja kwanza......, we toa ushirikiano wa kutosha, toa hiyo mambo vizuri then na mie nifumue invyotakiwa hadi utamani kuimwagia maji ya baridi kwa nn tuje achana mama..? Love infact a love affair kind of is a two way traffic thing. Nipe, nikupe
Yes..nitatoa ushirikiano 'cause raha na mimi ninazitaka.

Ninachopinga ni hii mentality ya stunter kuwa ukukuruke ili usiachwe,sijui mapenzi ni ushindani..
Oooops!!
Yaani nikunjwe kama kambale mpaka nyonga ziachie kisa "namuonyesha mambo ili nisiachwe"huo ni utumwa wa mapenzi.
Btw,kama mwanaume hana mpango na wewe hata huko kwa bedi ukigeuza kuwa uwanja wa sarakasi atakuacha tu.
 
Kiwanda ndo unakuja kufikiria huku...
Ebu pita Iv.. Hujawahi hata kuwa na Kampuni ya kusambaza karanga ndo ujitie mawazo ya kiwanda..
Haya jenga uzalishe sis tutakuwa wateja...
Hahahahahaaaaaa

Huyu jamaa nilitaka kumwambia aombe mods wamuanzishie jukwaa la viwanda ahamie huko akaanze ujenzi...
Ila hili ulilomjibu limeifanya siku yangu kung'aa ghafla..
 
Mahaba ni kujituma, ukiwa na mwanamke wa namna hiyo mapungufu yake ya kitandani utayaona ni makamilifu yanayotibika tu na mwishowe utayazoea! Kumbuka ngono ni kitendo cha masaa au dk kadhaa, katika masaa 24 ya usiku na mchana kitandani tunakutana kwa masaa hayazidi 8 (kwa wengi wetu tunalala saa 4 usiku na kuamka saa 12 asubuhi) na kwenye masaa hayo nane 8 tuna kwichi kwichi kwa dk 20 tu kwaiyo usijidanganye na usiwadanganye wenzio

KHA!!!??? KUA SERIOUS DADA YANGU!!
si uonevu huu!!??????
 
Umeongea ukweli stunter tatizo lenu unaweza jituma weeh na kutoka nje mnatoka hamna jema nyie viumbe

huu unaitwa udadisi binti....na jinsia ya kiume tu ndio inatakiwa kua nao.hebu kuwa muelewa mtoto mzuri eenh
 
Wadada punguzeni uvivu kitandani...Mapenzi
yamekuwa ya ushindani sana kama Simba na
Yanga...Ukipoteza mechi mpinzani atakaa kileleni
kuongoza Ligi.
Tabia za kulala kama unasubiri Sakramenti
haitakupa chochote...Jitume kutetea uhalali wako wa kuwa Mpenzi wa huyo mtu...Mapenzi hayana
kupiga ramli,Manage your bed, vingine ni
Secondary.Mnaoamini Mapenzi hayalindwi na Sex
nawapa pole, Mta-Supp mtihani kabla hamjaanza
testi...Bed is everything!
UTAJA UFE MASKINI RAFIKI YANGU....FANYA KAZI UPATE CHAPAA...ISHU ZA BED FANYAA EXTRA.....WE ARE OVER MONEY
 
uanze kumvua,umshushe kidaka,umlazmishe alale kama ugomvi vile,uinue mguu,akwepeshe mdomo,akutoe mkono usishike hapo mwisho abane hata miguu.afu ukitoka hapo eti nitumie 40000 ya lesiwigi
 
Mtoa Mada Umegonga Mle Mle. Wengi Wenye Jinsia Ya Ke Ni Wavivu.
Ndiyo Maana Mnalalamika Kuwa Me Hawana Nguvu Lkn Kumbe Chanzo Ni Uvivu Wenu.
Sasa uvivu wa ke na ukosefu wa nguvu za Me inaingilianaje?
 
Shunie wacha uongo...
Hakuna mwanaume anayeonyeshwa ufundi uliotukuka alafu akatamani kwingine, cuz anakuwa hana anachomiss so lazima atulie tu....
Mwanamke aweza kuwa Fundi wakitandani lakini asiwe mwema! Ni lazima utatoka nje ukatafute wa kukupa huo wema
 
Back
Top Bottom