kobokocastory
JF-Expert Member
- Aug 30, 2014
- 1,076
- 1,272
Salaaaaaaaleee...!!!!Kama unataka viuno nenda twanga pepeta
Salaaaaaaaleee...!!!!Kama unataka viuno nenda twanga pepeta
Umejitekenya alafu unacheka mwenyewe... Ona sasa mifano uliyojitolea imekufunga mwenyewe... Ofcoz kama pesa ingekuwa ndo kilakitu basi wasukuma mikokoteni na wafagiaji barabara wangekuwa mabachelaMtu awe kama gogo au kibamia mradi kuna pesa . ..hamna shida . ..kwani mtu wa mkokoteni na mfagia barabarani anaviweza vyote hivyo vya kitandani ..lakini PESA . .acha maneno . .SHKAMOO PESA . .
Baki na hamu zakoKama unataka pesa nenda Bank
Waambie hao, viuno viuno si wakate vyao kwani hawanaUmeongea ukweli stunter tatizo lenu unaweza jituma weeh na kutoka nje mnatoka hamna jema nyie viumbe
Nini Panton hata bodaboda ina staffHata panton lina staff....
utamaliza ufundi wote uliopewa na kungwi na bado lijitu litatoka njeWaambie hao, viuno viuno si wakate vyao kwani hawana
na kungwi sasa hivi wanafunda ata kama haujaolewa hela yako tu ya kumlipaMi nikimpata anaezungusha feni na sio bikra namuacha.
Atakua kafunzwa na nani?!
Mi ndo maana....koh koh koh ngoja nikakohoe kwanzautamaliza ufundi wote uliopewa na kungwi na bado lijitu litatoka nje
ha ha haMi ndo maana....koh koh koh ngoja nikakohoe kwanza
Umeona eeeMapenzi ni starehe sio mashindano...
Toka lini ukasikia yameingia kwenye ligi kuu kuwania kombe?
Kaa mbali na hapoPatience123 inaelekea Game yako ni weak sana...
Naona wewe ndiyo umejifunga kweli kweli maana kwa kifupi ngono haileti mkate mezani . ..fanya kazi acha kuwaza mangono . ..Bye-byeUmejitekenya alafu unacheka mwenyewe... Ona sasa mifano uliyojitolea imekufunga mwenyewe... Ofcoz kama pesa ingekuwa ndo kilakitu basi wasukuma mikokoteni na wafagiaji barabara wangekuwa mabachela
Kwani kuvuruga mashuka mnakuwa mmeplan before?? Au inatokea tu bila kujijua?Tena msivuruge mashuka kitandani kwa sababu ni sehemu moja tu inayotakiwa icheze ambayo ni kiuno.Demu aliyefundwa mnamaliza mchezo kitanda kikiwa smart vilevele