Ushauri: Bed is Everything...

Ushauri: Bed is Everything...

Uonevu wa nini? Aliyekwambia ndoa au mahusiano ya kudumu ni kukata nyonga kama feni atakua kakudanganya
True..
Kuna ile mijimama mikurumbembe mishangingi ya mjini yenyewe yanajiita "makwingwi"
Kwenye kitchen party yanafundisha kukata mauno lakini unakuta yameachika kwenye ndoa zaidi ya 7.

Mahusiano ni kama jengo,limejengwa kwa tofali,nondo,bati,mbao,rangi n.k. ili liitwe jengo ni lazima kuwe na composition ya material iliyolifanya lisimame.

Hayo na kukata mauno kama feni halafu utu sifuri haku garantee kudumu kwenye mahusiano. Labda kama umenuia kucheza pono.
 
True..
Kuna ile mijimama mikurumbembe mishangingi ya mjini yenyewe yanajiita "makwingwi"
Kwenye kitchen party yanafundisha kukata mauno lakini unakuta yameachika kwenye ndoa zaidi ya 7.

Mahusiano ni kama jengo,limejengwa kwa tofali,nondo,bati,mbao,rangi n.k. ili liitwe jengo ni lazima kuwe na composition ya material iliyolifanya lisimame.

Hayo na kukata mauno kama feni halafu utu sifuri haku garantee kudumu kwenye mahusiano. Labda kama umenuia kucheza pono.
Hakika Mkuu!
 
Wadada punguzeni uvivu kitandani...Mapenzi
yamekuwa ya ushindani sana kama Simba na
Yanga...Ukipoteza mechi mpinzani atakaa kileleni
kuongoza Ligi.
Tabia za kulala kama unasubiri Sakramenti
haitakupa chochote...Jitume kutetea uhalali wako wa kuwa Mpenzi wa huyo mtu...Mapenzi hayana
kupiga ramli,Manage your bed, vingine ni
Secondary.Mnaoamini Mapenzi hayalindwi na Sex
nawapa pole, Mta-Supp mtihani kabla hamjaanza
testi...Bed is everything!
kijana una maneno???? hadi nimejikuta nacheka mie
 
pepa yenyewe iko blank unasupp nini? mwanaume mautundu yake yanakupelekea nawe kujituma mtu hajui chochote anajua kutwanga tu (mnakera) basi unamwelekeza ana haraka utadhan nini cjui waaai npokee sakramenti yangu mie niondoke
 
uanze kumvua,umshushe kidaka,umlazmishe alale kama ugomvi vile,uinue mguu,akwepeshe mdomo,akutoe mkono usishike hapo mwisho abane hata miguu.afu ukitoka hapo eti nitumie 40000 ya lesiwigi
wanafunzi watakuponza kijana! hizi kukuru kakara sio za msichana mtu mzima kabisa
 
Mmmh inategemea na style babu sio kila style mtu akatike. Kujifanya yondo sister mtu ateguke nyonga kisa biringanya 2 au kuna mengine.

Midume yenyewe isiyoridhika
Style gani unakatika sn?!
 
True..
Kuna ile mijimama mikurumbembe mishangingi ya mjini yenyewe yanajiita "makwingwi"
Kwenye kitchen party yanafundisha kukata mauno lakini unakuta yameachika kwenye ndoa zaidi ya 7.

Mahusiano ni kama jengo,limejengwa kwa tofali,nondo,bati,mbao,rangi n.k. ili liitwe jengo ni lazima kuwe na composition ya material iliyolifanya lisimame.

Hayo na kukata mauno kama feni halafu utu sifuri haku garantee kudumu kwenye mahusiano. Labda kama umenuia kucheza pono.
Labda yanakata sana mauno mpk waume zao wanavunjka nyonga inabidi watoe talaka
 
Wadada punguzeni uvivu kitandani...Mapenzi
yamekuwa ya ushindani sana kama Simba na
Yanga...Ukipoteza mechi mpinzani atakaa kileleni
kuongoza Ligi.
Tabia za kulala kama unasubiri Sakramenti
haitakupa chochote...Jitume kutetea uhalali wako wa kuwa Mpenzi wa huyo mtu...Mapenzi hayana
kupiga ramli,Manage your bed, vingine ni
Secondary.Mnaoamini Mapenzi hayalindwi na Sex
nawapa pole, Mta-Supp mtihani kabla hamjaanza
testi...Bed is everything!




Prrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrryaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom