jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,585
naachaje kwa mfano?Khe, kumbe umefika hadi huku????
naachaje kwa mfano?Khe, kumbe umefika hadi huku????
kwani hujui supermarket yuko kazini? au umemfuta kazi?Itabidi nipange mikakati ya kukuwekea uzio ili niikomeshe tabia yako ya kuzurura
hahaha, hapanaHivi ile story yako uliiendelezea??? Ni-tag
KweliSio mchoyo...
Anapenda sana wageni mpwa wangu yule..
Atafurahi sana kukuona.
kwani hujui supermarket yuko kazini? au umemfuta kazi?

nn sasa my kaka?
Nimefurahi kukusomann sasa my kaka?
mhhhhh thanksNimefurahi kukusoma
Mambo vp!mhhhhh thanks
hujui dada ako yuko wapi so sitaki salam yako. umemuacha dada ako sana nowdaysMambo vp!
Nawe hujui tu nilipokua jmnhujui dada ako yuko wapi so sitaki salam yako. umemuacha dada ako sana nowdays
naona umeanza kubishana na dada ako. nisubiri nikukute paleNawe hujui tu nilipokua jmn
eh kweli wewe upo nyuma sana boss STUNTERYeah nliishia pale carrie alipomwambia Doreen kuwa yeye ni virgin kwa kutokubanjuka kwa 10 yrs... Ngoja nikaendeleze
supermarket Nampa likizo ya Xmass & new Year, so kuanzia kesho atakuwa mapumzikonikwani hujui supermarket yuko kazini? au umemfuta kazi?