Ushauri: Bed is Everything...

Ushauri: Bed is Everything...

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,077
Reaction score
17,260
Wadada punguzeni uvivu kitandani...Mapenzi
yamekuwa ya ushindani sana kama Simba na
Yanga...Ukipoteza mechi mpinzani atakaa kileleni
kuongoza Ligi.
Tabia za kulala kama unasubiri Sakramenti
haitakupa chochote...Jitume kutetea uhalali wako wa kuwa Mpenzi wa huyo mtu...Mapenzi hayana
kupiga ramli,Manage your bed, vingine ni
Secondary.Mnaoamini Mapenzi hayalindwi na Sex
nawapa pole, Mta-Supp mtihani kabla hamjaanza
testi...Bed is everything!
 
Wadada punguzeni uvivu kitandani...Mapenzi
yamekuwa ya ushindani sana kama Simba na
Yanga...Ukipoteza mechi mpinzani atakaa kileleni
kuongoza Ligi.
Tabia za kulala kama unasubiri Sakramenti
haitakupa chochote...Jitume kutetea uhalali wako wa kuwa Mpenzi wa huyo

Mapenzi ni starehe sio mashindano...

Toka lini ukasikia yameingia kwenye ligi kuu kuwania kombe?
 
Sio weak...

I do for pleasure..

Sio nikukurukeeeeee eti ili mwanaume asiniache.

Unaweza ukukuruke,utoe na visivyotolewa na kuchwa uachwe..

Mna jema kwani?
Mkwara tembo matokeo sisimizi...
Sex ni hisia so inategemea na jamaa linalokukaz+ linamood gani..
 
Sasa kama anasubiri sakramenti kitandani kafuata nini!!
 
Utamu wa kweli ni ridhiko liwe la kukurukakara au mwendo wa kinyonga. Mradi mshindo uwe ule wa karibu kupoteza fahamu
 
Back
Top Bottom