Corner bar ya moto ni nnNatumia Corner bar ya moto
Stunter achana na kiumbe kinachoitwa mwanaume utampa atakusifia mara baby mtamu baby vile baby kimekwenda kimerudi baby unajua lkn lazma tu afanye madudu yakeShunie wacha uongo...
Hakuna mwanaume anayeonyeshwa ufundi uliotukuka alafu akatamani kwingine, cuz anakuwa hana anachomiss so lazima atulie tu....
Kweli tena sijui labda nikisie corner bar ipo sinza wanajiuza machangudoa labda unamaanisha hao wanaoujiza auNi kwamba hujui kweli au umeamua tu?
Huenda ikawa kweli, lakini mimi naisemea nafsi yangu, sioni sababu ya kutafuta kwingine ikiwa napata nnachokitaka,Stunter achana na kiumbe kinachoitwa mwanaume utampa atakusifia mara baby mtamu baby vile baby kimekwenda kimerudi baby unajua lkn lazma tu afanye madudu yake
Sio wote bhana labda upo ww peke ako tu kwenye hiliHuenda ikawa kweli, lakini mimi naisemea nafsi yangu, sioni sababu ya kutafuta kwingine ikiwa napata nnachokitaka,
unajua wanaume tunaanza kutafuta kipozeo kipya pale tunapokosa masikilizano,
Shunie Sisi wanaume huwa tukiona Ng'ombe anatusumbua hataki kuelekea kibla basi tunakimbilia buchani fasta kuokoa muda
ha ha ha kilichokua kinanichanganya iyo ya moto sijajua ni nnKumbe unajua... Ulikuwa unajifanyisha tu..
Umeshapita kwa Patience123 ???Kaa mbali na hapo
Ngono inaleta mkate kwa wale wanaojiuza.
Alafu usifananishe Ngono na vitu vya kijinga

