interface
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 221
- 178
Kuna dada yangu aliolewa na ameishi na mume wake kama miaka 6 hivi wamebahatika kupata watoto na wako na mali nyingi sana kwa kweli, sasa juzi kumetokea mgogoro kati yao juu ya mali.
Mume alimpigia simu make wake na akamuamuru mali zote ampe mtoto wake (wa mke mwengine) yule dada akatoa mali nyingi kumpa lakini baadae akaone haelewi kuna mali kidogo akazuia baada ya kuzuia ikamsababishia talaka tatu na kumwambia toka hapo haraka sana, mke akatoka na hakutoa kitu kwa siku ile.
Jana ameenda na kukuta nyumba wamevunja vitasa vyote na kuweka vipya (watoto wa mambo hao na mama yao) mume mpaka leo hajulikani alipo na hana mawasiliano.
Ushauri wenu nini afanye huyu mwanamke kupata vitu vyake vilivyokuwemo ndani? Na juu ya hudumu za watoto?
Tafadhalini sana
Mume alimpigia simu make wake na akamuamuru mali zote ampe mtoto wake (wa mke mwengine) yule dada akatoa mali nyingi kumpa lakini baadae akaone haelewi kuna mali kidogo akazuia baada ya kuzuia ikamsababishia talaka tatu na kumwambia toka hapo haraka sana, mke akatoka na hakutoa kitu kwa siku ile.
Jana ameenda na kukuta nyumba wamevunja vitasa vyote na kuweka vipya (watoto wa mambo hao na mama yao) mume mpaka leo hajulikani alipo na hana mawasiliano.
Ushauri wenu nini afanye huyu mwanamke kupata vitu vyake vilivyokuwemo ndani? Na juu ya hudumu za watoto?
Tafadhalini sana