LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,656
Hahahahaa Eve hahahaPole mama mdogo
Hahahahaa Eve hahahaPole mama mdogo
😀😀😀 noma sana mkuu, ni hatareeeDuuh. ..sitting allowance aka mnachungulia nyuma hadi ndani ya JF. I can't you mkuu
Asante bby.....nimekupenda bure....bila shaka ww ni mwanaume wa dar...maana wanaume wa mkoa tokea niwape makavu yaoPole sana,usiitoe dada koz ushafanya makosa,we tulia tu litakalo kuja mbele wakishajua ndo ulilete tena tulijadili ten

Kwa nn hukuomba ushauri kabla ya kufanya huo uzinzi wenu? Kikawaida ukilikoroga unalinywaNinaombeni ushauri, nimepewa mimba na baba mdogo wangu. Yaani hapa nilipo nimechanganyikiwa. Naogopa kutoa ila ninajiuliza nifanyaje kwa maana wazazi wangu wakijua baba mdogo wangu ndo mpenzi wangu watanikata masikio.
Nikajua unaomba lift! mbona umeishia kuuliza tu😀😀😀 noma sana mkuu, ni hatareee
Hata mie naona huo utafiti uko sawa kabisaHii ndio ule utafiti uliosema tz katika kila watu 4 kuna kichaa mmoja
HIKI NDO ULICHOANDIKA... nanukuu...Nimesema ni rafiki yangu sio mimi mhhhhhhhhh wanaume wa dar kwa umbeaa loooooooh
Leo kapewa mimba au jike dumePia aliwahi kudai kuwa yeye ni dume la mbegu na alimtoa binamu yake usichana,ushahidi huu hapa mkuu!:https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1117382/
Ana roho ya kishetani ya kuwatamani ndugu zake tu

Ni wangu
Sipo sokoni. Me binadamu sio bidhaaUpo sokon?