Ushauri: Amepewa mimba na baba yake mdogo

Ushauri: Amepewa mimba na baba yake mdogo

Wenzio tunakulaga kwa binamu tu sasa wew baba mdogo si ni sawa na baba yaani laana tupu
 
Yaani hapo sijui utafanyaje!
Ukiitunza utazaa laana na kuharibu ndoa ya mama ako mdogo. Ukiitoa utapata dhambi na kidonda cha milele. Chagua ufanyaje!
Ila unaeza kimbia na kuhamia sehemu mpaka utakapojifungua, yaani mtu asijue una mimba. Alafu mtoto mpeleke kituo cha kulelea yatima.
 
Ninaombeni ushauri, nimepewa mimba na baba mdogo wangu. Yaani hapa nilipo nimechanganyikiwa. Naogopa kutoa ila ninajiuliza nifanyaje kwa maana wazazi wangu wakijua baba mdogo wangu ndo mpenzi wangu watanikata masikio.
Asubuhi nilisoma post yako hapa kuwa wanaume wa mikoanii ni washamba wa mapenzi....
Inaonesha wazi unamsingizia Baba mdogo na what if ni hao wanaume wa mkoani ndio wamekupa hiyo mimba...Angalia isije kuwa unajitafutia laana kwa kumsingizia baba mdogo wako... Kumbuka kuwa iyo dhambi ni kubwa Sana na itakutafuna mpaka jehanamu....
 
Kumbafu kabisa huna adabu kubwa zima wewe unatanulia ndugu wa damu kiasi hicho? Umelaaniwa kuliko sodoma na gomora.
 
Hee watu humu kwa umbeaaaa....mimi nimemuombea rafiki yangu ushauri.....wanaume wa ifakara mpo wengi humu looooh
 
Sasa wakati unapanua mapajaaa hukujuaa kama huyoo baba mdogo wako au unataka kumsingiziaa shetaniiii jifunguee tuu ila ndo hivyoo atakuwaa mwanaoo alafu tena mdogo wakooo
 
Ninaombeni ushauri, nimepewa mimba na baba mdogo wangu. Yaani hapa nilipo nimechanganyikiwa. Naogopa kutoa ila ninajiuliza nifanyaje kwa maana wazazi wangu wakijua baba mdogo wangu ndo mpenzi wangu watanikata masikio.
Nina dispensary yangu natoa mimba ,hata kama ni ya miez 8 naitoa tu,usiogope Dada mambo madogo hayo
 
Someni habari kabla ya kutoa comment jamani
Wanaume wa mkoa wagumu kweli kuelewa
 
Naona km halali yako tu kupewa ona ka-avatar kako hako kabomba nakenyewe unakapa
 
Humu ndani kuna mashoga Mpwa. Nilisoma thread yake moja asubuhi ya Leo nikawa nawaza kuwa mbona kama vile huyu sio Mwanamke??
Hata kama sio mwanamke kijinsia, ila kivingine atakuwa ni mwanamke kabisa. Siku hizi mtu akiwAza tu pumba yoyote kwenye boksi lake anaianzishia uzi
 
Back
Top Bottom