jose mjasiriamali
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,770
- 1,603
pm kuna ruhusiwa? au?Ni wangu
pm kuna ruhusiwa? au?Ni wangu
Kwahiyo katiwa mimba leo na baba mdogo huku ni mwanaume
Mkuu huyu mwongo Sana thread zake nyingi nahisi ni WA JINSIA ya KIUMEWewe wewe ndo ulikuwa unaponda wanaume wa kijijini kumbe unapenda wanaume baba mdogo!!..........kweli hii dunia ina mengi!
![]()
Dada!Ninaombeni ushauri, nimepewa mimba na baba mdogo wangu. Yaani hapa nilipo nimechanganyikiwa. Naogopa kutoa ila ninajiuliza nifanyaje kwa maana wazazi wangu wakijua baba mdogo wangu ndo mpenzi wangu watanikata masikio.
Shemeji umeuwa.... ahahahahahaaPole mama mdogo
Nadhani mwanaume mchafu wa mkoa aliyekutana naye ni huyo baba yake mdogoDada!
Ww si ndiye uliyesema wanaume wa mikoani ni wachafu na tena huwezi kuwa nao na ukajigamba kuwa watakao faidi penzi lako ni wanaume wa dar?
Dada hata huyo baba mdogo wako ni mwanaume wa dar umeamua kumpa penzi.
Kutoa ni hatari sana bora ulee. Ushaharibu bora ukubali hii aibu sbb ukitaka kutoa unaweza kutoa kizazi ikakuletea shida huko mbeleni
Mkuu naomba unitake radhi Id 1 tuu inanishinda niwe na 2 ili nigundue niniHuyu ni mtu mmoja mwenye ID mbili
Heheeeeee halooooooooooo kweli sio kila gesi ni ya mtwara babuuumnaondelea kumjibu ni kama mnampa kichwa anacheza na akili za watu.. Inawezekana ushamba WA mitandao au utoto au ujinga au umalaya UNAKUSUMBUA binti badilika tafuta kazi za kufanya
Duuh. ..sitting allowance aka mnachungulia nyuma hadi ndani ya JF. I can't you mkuumkuu huo mzigo hapo kwenye avatar ni wako au?
Wanakusingizia tu mkuuNimesema ni rafiki yangu sio mimi mhhhhhhhhh wanaume wa dar kwa umbeaa loooooooh
