NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
Una visa vya ajabu ajabu wewe!!!
HahahhhhLeo hapa JF tunae mwanaume wa kwanza duniani kutiwa mimba!![]()
Sipo sokoni. Me binadamu sio bidhaa
Kitanda Hakizai HalamMpeni ushauri rafiki yangu, amepewa mimba na baba yake Mdogo. Yaani hapa alipo amechanganyikiwa. anaogopa kutoa ila anajiuliza afanyaje kwa maana wazazi wake wakijua kuwa ana mimba tena ya baba yake mdogo wazazi ake watamkata masikio kwa hasira.