Ushauri: Amepewa mimba na baba yake mdogo

Ushauri: Amepewa mimba na baba yake mdogo

Msalimie mama mdogo mwambie amsalimie kijacho.
 
Huyo na ww wote malayaaa ulishindwa nini kumshauri mtu analalwa na baba ake naww kama rafiki umeridhia???
 
Hivi kweli mtu utaepuka laana apo wanaume wote waliojaa mpk kumvulia chupi baba ako mdogo
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mpeni ushauri rafiki yangu, amepewa mimba na baba yake Mdogo. Yaani hapa alipo amechanganyikiwa. anaogopa kutoa ila anajiuliza afanyaje kwa maana wazazi wake wakijua kuwa ana mimba tena ya baba yake mdogo wazazi ake watamkata masikio kwa hasira.
Mmh baba mdogo af anaogopa kufanya abortion! ! Mi namshaur awahi haraka kabla haijashindkana kutolewa aisee
 
Ushaur ngumu kupata hapo ila lazima uwe na mipaka mana unaweza je kumvulia bado yako mdogo nguo, kama c laana hapo, huo ni mtihani kwa muhusika
 
Back
Top Bottom