kababaa1
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 597
- 398
Huu ni uoga wa kiwango cha lami!Ndio maana tunashaur dogo ajishushe tu aombe msamaha hata kama NI KWELI SERIKALI NDIO INAHUSIKA KATIKA UTEKWAJI WAKE...He is young and still have a long way to GO......Mwenye nguvu mpishe TU
Kwa Mimi bora nife nikiusimamia ukweli
Kwamba aombe radhi hata kama ni mabwana wale wanahusika!!
Kwamba bwana wale wana nguvu kuliko sisi?!!
Hakuna kitu kama icho!
Tukutane wapiiii........
Wale wa Arusha tunakutana wapi??