Naona wewe ni mnufaika wa systems yanayotokea kwa jirani yako unaona kamwe hayatatokea kwake,huyu ndiye aliyeonewa na haki yake ya kikatiba imevunjwa ikiwa ni pamoja na kuwekwa kuzuizini bila ya kesi wakati yeye ndiye aliyetekwa,amesafirishwa kama mkimbizi ndani ya nchi yake kati ya Iringa na DSM kwa kodi zetu wewe mtoa hoja hili hulioni,RC wa Dsm anatamka hadharani kuwa mkimalizana naye mlete huku ametia aibu mkoa wake mtoa hoja hili kwako ni story inayokuburudisha,always tuishi kwa wajibu wa kisheria na nchi hii ni yetu wote,na kwa taarifa yako mkimbizi ana haki mno kuliko mtanzania anayeishi Tanzania ,Facts always zibakie hivyo sio kila kitu unaingiza siasa kwa sababu wewe ni mmoja wa wale wanaokula pie ya taifa pekee,ilewa Time na History itatuhukumu kwa vitendo vyetu,hapa hapa SADC KUNA MTOTO WA FORMER PRESIDENT KWA SASA ANAISHI MAISHA YA KAMA NDEGE,nchini kwake hakukaliki!!Utafanya mwenzio awe mkimbizi for the rest of his life na asije ishi maisha ya AMANI huko unapomshauri akimbilie (Huku kunaitwa kusaliti nchi)...huu ushauri haupo sawa kabsa.....
Kama kweli unamtakia mema jambo zuri hapa ni kumshauri kama kweli NAFSI YAKE INA MSUTA alifanya makosa kwa kutokujua au kwa kushauriwa vibaya na baadhi ya watu....ATOKE ADHARANI AKILI alifanya makosa na aombe msamaha kwa SERIKALI,this will help...
Nondo bado bwana mdogo sana he still have a long way to GO.....Me naamini kabsa hata kwa sasa anajuta kwa nini alifanya hivyo...Ndio maana tunasema hivi SIASA mchezo mchafu sana ukiingia kichwa kichwa LAZIMA ILE KWAKO.....hata hao kina WANAOWANYOOSHEA wenzao mikono ikatokea MWENYEZI MUNGU akatufunulia yaliyonyuma TUNAWEZA MUOMBA MAGUFULI MSAMAHA
Basi yafaa nini kuishi katika nchi yako bila amani, ukiwindwa kutwa kuchwa na watu ambao ni kama ndugu zako?Utafanya mwenzio awe mkimbizi for the rest of his life na asije ishi maisha ya AMANI huko unapomshauri akimbilie (Huku kunaitwa kusaliti nchi)...huu ushauri haupo sawa kabsa.....
Kama kweli unamtakia mema jambo zuri hapa ni kumshauri kama kweli NAFSI YAKE INA MSUTA alifanya makosa kwa kutokujua au kwa kushauriwa vibaya na baadhi ya watu....ATOKE ADHARANI AKILI alifanya makosa na aombe msamaha kwa SERIKALI,this will help...
Nondo bado bwana mdogo sana he still have a long way to GO.....Me naamini kabsa hata kwa sasa anajuta kwa nini alifanya hivyo...Ndio maana tunasema hivi SIASA mchezo mchafu sana ukiingia kichwa kichwa LAZIMA ILE KWAKO.....hata hao kina WANAOWANYOOSHEA wenzao mikono ikatokea MWENYEZI MUNGU akatufunulia yaliyonyuma TUNAWEZA MUOMBA MAGUFULI MSAMAHA
Inategemea mkuu na type of crime. Hata Mandela alikuwa regarded kama ni criminal pia lakini Tanzania na nchi nyengine bado zilimpokea. Persinally, naamini kuwa kwa sasa aendelee na kesi yake na nina imani atapata fair au niseme favourable trial based on the publicity the case has had!Huyu keshakuwa criminal akisepa wanapeleka interpol anarudishwa ndo anafia sello.
Hayo yakoDo you know the word betray and it's meaning? au umeona kwa kuwa wengi hautujui ung'eng'e basi tutakuadmire!
Eti asiishi maisha ya amani ,kwa hiyo hapo alipo ana amani.maskini wa fikraUtafanya mwenzio awe mkimbizi for the rest of his life na asije ishi maisha ya AMANI huko unapomshauri akimbilie (Huku kunaitwa kusaliti nchi)...huu ushauri haupo sawa kabsa.....
Kama kweli unamtakia mema jambo zuri hapa ni kumshauri kama kweli NAFSI YAKE INA MSUTA alifanya makosa kwa kutokujua au kwa kushauriwa vibaya na baadhi ya watu....ATOKE ADHARANI AKILI alifanya makosa na aombe msamaha kwa SERIKALI,this will help...
Nondo bado bwana mdogo sana he still have a long way to GO.....Me naamini kabsa hata kwa sasa anajuta kwa nini alifanya hivyo...Ndio maana tunasema hivi SIASA mchezo mchafu sana ukiingia kichwa kichwa LAZIMA ILE KWAKO.....hata hao kina WANAOWANYOOSHEA wenzao mikono ikatokea MWENYEZI MUNGU akatufunulia yaliyonyuma TUNAWEZA MUOMBA MAGUFULI MSAMAHA
Hakuna kuomba msamaha .. mkuu ushauri wako una nunulika.Ndio maana tunashaur dogo ajishushe tu aombe msamaha hata kama NI KWELI SERIKALI NDIO INAHUSIKA KATIKA UTEKWAJI WAKE...He is young and still have a long way to GO......Mwenye nguvu mpishe TU
Unamaanisha kwamba hata kama ni kweli alitekwa still aombe msamaha kwa kutekwa? Au sijakuelewa?Ndio maana tunashaur dogo ajishushe tu aombe msamaha hata kama NI KWELI SERIKALI NDIO INAHUSIKA KATIKA UTEKWAJI WAKE...He is young and still have a long way to GO......Mwenye nguvu mpishe TU
Wacha ihatarishe tuuu, wewe unaona amani. Kwa kuwa aijakukuta ndugu yako kufanyiwa maswala ya kinyamaNaona mmeibua mbinu mpya ya kujipatia visa ya bure, zamani watu walikua wanazamia meli, ila tunawaomba muachane na hii njia maana inahatarisha amani yetu. Ni hayo tu.