asante mkuu kwa ushauri mzur na pole sana kwa stuation hiyo real inaumiza sana.kila la kher na mkeo
na wewe mchukie kwani unaishi na mama mkwe!! kama ni wakwetu kule anza kumpampa hela atakupenda tu...
hivi kwenu ni wapi tena vile?
I hope nitapata nafasi ya kupendwa na mama mkwekilimanjaro
I hope nitapata nafasi ya kupendwa na mama mkwe
atakupenda ukinijali na kunipenda me aaaah sana tu amuna shida
...
.......weka ndani ila tambuwa unakaa na KICHECHE!!!