BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,245
Mtoa mada ndio mshamba kabisa
Huyu Milard Ayo??? Ya lini hii??ITV kuna umwamba flani hivi wakigangwe baado hua najiuliza sana transformation ya uyu jamaa baada ya kucha manyoya pande hizo View attachment 1642613
Zama za itv hizo 😀Huyu Milard Ayo??? Ya lini hii??
Mashati na suruali za Waah zipo mjini, nenda ujipatie yako.
Bongo joto mzeeHabari wana jamvi,leo wakati wa kipindi cha michezo baada ya taarifa ya habari mtangazji Amri Masare ameibuka na bonge la shati. Sasa najiuliza ni ushamba au ni staili mpya iliyoletwa na Kofii Olomide.Kama ni staili mpya wana bodi tuambizane.View attachment 1642512View attachment 1642513
Mleta Uzi huu wewe ndo mshamba kupitiliza! Umezoea kuvaa vinguo vya dada zako za kubana matako ndo unatuletea wanaume barazani?!Habari wana jamvi,leo wakati wa kipindi cha michezo baada ya taarifa ya habari mtangazji Amri Masare ameibuka na bonge la shati. Sasa najiuliza ni ushamba au ni staili mpya iliyoletwa na Kofii Olomide.Kama ni staili mpya wana bodi tuambizane.View attachment 1642512View attachment 1642513
Wasukuma walikutombanatabiri wewe uliyeleta huu uzi ni msukuma
Hata mimi nashangaa, mtu unachunguza hadi nani kavaa niniHuo muda mnaupata wap wenzangu..?
Mshamba ni wewe jipu kubwaHabari wana jamvi,leo wakati wa kipindi cha michezo baada ya taarifa ya habari mtangazji Amri Masare ameibuka na bonge la shati. Sasa najiuliza ni ushamba au ni staili mpya iliyoletwa na Kofii Olomide.Kama ni staili mpya wana bodi tuambizane.View attachment 1642512View attachment 1642513
Mwanaume kuvaa nguo za kubana ni ushamba uliopitiliza .huku ni kutokujitambua hasa ukizingatia athari za kiafya kuyabana maeneo nyeti ya mwili.Huyo mtangazaji yupo around 40's kwahyo mimi sishangai.
japo ni kweli hilo shati ni kubwa.na huo uonekanaji ni wa miaka ya 2008 kushuka atakayebisha arejee photos za nyakati tajwa.
Hata kwny soka, ukiangalia bukta/jezi za nyakati za kina bekham, keane, owen, campbel au viera Zilikuwa pana.
hata hapa tz, jezi walizokuwa wanavaa kina nsajigwa, chuji,nyoni
smg, mexime nyakati za maximo ni tofauti na za leo.
nadhan mtoa mada ni mdau sana wa fashion industry.