Ushamba wa watangazaji wa ITV

Ushamba wa watangazaji wa ITV

Habari wana jamvi,leo wakati wa kipindi cha michezo baada ya taarifa ya habari mtangazji Amri Masare ameibuka na bonge la shati. Sasa najiuliza ni ushamba au ni staili mpya iliyoletwa na Kofii Olomide.Kama ni staili mpya wana bodi tuambizane.View attachment 1642512View attachment 1642513
Hayo nayo mkuu yanakuhusu kweli? Wewe kwako mtu akivaa kimodo ndiyo ustaarabu? Mbona jamaa yuko fresh tu!
 
Hapa hapa mkuu wala hakuna haja ya kumwonea aibu, ameonesha upumbavu wa kiwango cha lami! Kwao mtu akivaa kimodo ndiye kastaarabika!
Tunaotaka kumtukana huyu jamaa tucomment wap jaman
 
Ulivosema tu Kofi olomide umewachokoza watu wanaoupenda ule wimbo wa #waah
 
Back
Top Bottom