Ushamba unavyoleta Usumbufu kwa watumia barabara Dodoma

Ushamba unavyoleta Usumbufu kwa watumia barabara Dodoma

Mangi Mlay

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
5,743
Reaction score
7,103
Dodoma inakuwa kwa kasi nzuri lakini kumekuwa na changamoto ya washamba wengi.
Kutokana na kuwa Makao Makuu kuna watu wengi wanahamishwa kutoka vimiji vidogo wanakuja na ushamba mwingi sana.
Mtu anapaki gari katikati ya Barabara bila kujali watu wengine wanapata taabu kiasi gani.
Kama huyu jana na Kaduals kake kafunga barabara ya Hospital na Soko la Jamuhuri na hajali lolote.
 

Attachments

  • 20250722_114054.jpg
    20250722_114054.jpg
    281.6 KB · Views: 30
Hat
Dodoma inakuwa kwa kasi nzuri lakini kumekuwa na changamoto ya washamba wengi.
Kutokana na kuwa Makao Makuu kuna watu wengi wanahamishwa kutoka vimiji vidogo wanakuja na ushamba mwingi sana.
Mtu anapaki gari katikati ya Barabara bila kujali watu wengine wanapata taabu kiasi gani.
Kama huyu jana na Kaduals kake kafunga barabara ya Hospital na Soko la Jamuhuri na hajali lolote.
Hata daslamu walianza hivi,tutafika tuu!
 
Back
Top Bottom