Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,441
Sijiui kama na wewe ulishawahi kujiuliza juu ya hili? Hivi hewa ya Oxygen ingekuwa inalipiwa na watumiaji kwa mtindo kama wa LUKU. Yaani tungekuwa na kitu kinaitwa LOKU (LIPIA OXYGEN KADIRI UNAVYOTUMIA) .
Hivi binadamu wangapi wangeweza kumudu gharama za kutumia hii hewa? Hata kama gharama yake ingekuwa ya chini kabisa bado kuna watu wangeshindwa kulipia kwa wakati, na wengine wangeshindwa kabisa kulipa.
Hivyo hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hekima na busara zake kwa kufanya matumizi ya hii hewa kuwa bure. Tajiri, mfalme, maskini na hohehahe wote tunavuta hewa sawa
Hivi binadamu wangapi wangeweza kumudu gharama za kutumia hii hewa? Hata kama gharama yake ingekuwa ya chini kabisa bado kuna watu wangeshindwa kulipia kwa wakati, na wengine wangeshindwa kabisa kulipa.
Hivyo hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa hekima na busara zake kwa kufanya matumizi ya hii hewa kuwa bure. Tajiri, mfalme, maskini na hohehahe wote tunavuta hewa sawa