Ushahidi Watz tuna IQ Ndogo!

Ushahidi Watz tuna IQ Ndogo!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,314
Reaction score
14,989
Ushahidi kwamba Watz tuna IQ ndogo ni huu kuhusu malumbano na Zanzibar! Kwa nini nasema hivyo, ukiangalia Zanzibar ina kilometa za mraba takribani 2600 (2600 km²) na Watu wasiofika Milioni moja (1,000 000) wakati Tanzania Bara ina zaidi ya kilometa za Mraba laki tisa (>900 000 km²) na watu wanaozidi milioni 40 (40 000 000) lkn tunapoteza Muda, Nchi nzima kujadili haki yetu ya kupata ardhi Zanzibar, tupoteza Muda kujadili eti kupewa haki sawa na Zanzibar ktk Muungano...

Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!

Hivyo wanaotafuta mchawi wa kwa nini sisi ni Masikini jibu lipo nalo ni moja tu, IQ!
IQ ndio ya kulaumu, yaani uwezo wa kuona na kuamua ni mambo gani ya kuyapa Kipaumbele ktk Maisha ndio mwisho wa siku unaamua ni nani aweze kuendelea kiuchumi na nani azidi kubakia kuwa Masikini...
 
Wenye IQ kubwa hua wanafikiriaa kwa kina, na hua hawakulupuki katika kuchukua maamuzi.
 
Ushahidi kwamba Watz tuna IQ ndogo ni huu kuhusu malumbano na Zanzibar! Kwa nini nasema hivyo, ukiangalia Zanzibar ina kilometa za mraba takribani 2600 (2600 km²) na Watu wasiofika Milioni moja (1,000 000) wakati Tanzania Bara ina zaidi ya kilometa za Mraba laki tisa(>900 000 km²) na watu wanaozidi milioni 40 (40 000 000) lkn tunapoteza Muda, Nchi nzima kujadili haki yetu ya kupata ardhi Zanzibar, tupoteza Muda kujadili eti kupewa haki sawa na Zanzibar ktk Muungano...

Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!

Hivyo wanaotafuta mchawi wa kwa nini sisi ni Masikini jibu lipo nalo ni moja tu, IQ!
IQ ndio ya kulaumu, yaani uwezo wa kuona na kuamua ni mambo gani ya kuyapa Kipaumbele ktk Maisha ndio mwisho wa siku unaamua ni nani aweze kuendelea kiuchumi na nani azidi kubakia kuwa Masikini...




Mkuu nakuunga mkono aise hasa hapo kwenye red, wengi wa watanzania wana upeo mdogo sana wa kufikiri na kutulia na kuchambua mambo si profesa, dokta au nani wengi hawana, ndo maana wengi wetu hatujui tunataka nini hasa katika Nchi hii, na wengi hawajui kwa nini wanagombea nafasi mbali mbali za uongozi hasa Urais! ila bora wamegombea, hata ukiangalia bungeni karibu wabunge wengi wana upeo mdogo sana, wengi wanadhani kuwa Siasa ni ugomvi, fitna, rafu na kupeana madongo.
Hata siasa zetu ni za low IQ, ukitaka kujua ni za low IQ fuatilia kampeni za KALENGA, jikumbushe Arumeru M, Igunga, wengi hawajui siasa wanadhani siasa ni vita!!!!
 
Ushahidi kwamba Watz tuna IQ ndogo ni huu kuhusu malumbano na Zanzibar! Kwa nini nasema hivyo, ukiangalia Zanzibar ina kilometa za mraba takribani 2600 (2600 km²) na Watu wasiofika Milioni moja (1,000 000) wakati Tanzania Bara ina zaidi ya kilometa za Mraba laki tisa(>900 000 km²) na watu wanaozidi milioni 40 (40 000 000) lkn tunapoteza Muda, Nchi nzima kujadili haki yetu ya kupata ardhi Zanzibar, tupoteza Muda kujadili eti kupewa haki sawa na Zanzibar ktk Muungano...

Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!

Hivyo wanaotafuta mchawi wa kwa nini sisi ni Masikini jibu lipo nalo ni moja tu, IQ!
IQ ndio ya kulaumu, yaani uwezo wa kuona na kuamua ni mambo gani ya kuyapa Kipaumbele ktk Maisha ndio mwisho wa siku unaamua ni nani aweze kuendelea kiuchumi na nani azidi kubakia kuwa Masikini...
ukisema watanzania wote tuna IQ ndogo unakosea suala linalosumbua bungeni kuna mtu hataki muungano na mwingine analazimisha. Na huyo anayelazimisha anapewa masharti magumu ya ajabu wakati yeye anaogopa kuongea ya moyoni kumwambia huyo ambaye hataki muungano. Umeshajua mkubwa?
 
Wewe ndo una IQ ndogo. Issue ya Zanzibar ni sensitive sana. Kwa waona mbali huwezi ukaijadili kijuu juu tu. Huna data unaposema "Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!. Kam unafuatilia vyombo vya habari utaelewa ni kwanini Urusi ana nchi za Europe na Marekani zinataka ushawishi wa nchi ya Ukrane hasa kisiwa cha Crimea. Ujiulize kwani vita ya Uingereza ilipigana vita kugombea kisiw cha Falkland wakati kisiwa hicho kipo karibu Km 12734 kutoka Uingereza. Kaka no reserch, no right to speak.

Ushahidi kwamba Watz tuna IQ ndogo ni huu kuhusu malumbano na Zanzibar! Kwa nini nasema hivyo, ukiangalia Zanzibar ina kilometa za mraba takribani 2600 (2600 km²) na Watu wasiofika Milioni moja (1,000 000) wakati Tanzania Bara ina zaidi ya kilometa za Mraba laki tisa(>900 000 km²) na watu wanaozidi milioni 40 (40 000 000) lkn tunapoteza Muda, Nchi nzima kujadili haki yetu ya kupata ardhi Zanzibar, tupoteza Muda kujadili eti kupewa haki sawa na Zanzibar ktk Muungano...

Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!

Hivyo wanaotafuta mchawi wa kwa nini sisi ni Masikini jibu lipo nalo ni moja tu, IQ!
IQ ndio ya kulaumu, yaani uwezo wa kuona na kuamua ni mambo gani ya kuyapa Kipaumbele ktk Maisha ndio mwisho wa siku unaamua ni nani aweze kuendelea kiuchumi na nani azidi kubakia kuwa Masikini...
 
Ukiona mtu anasema una IQ ndogo bila ya uchanganuzi wa maana ujue yeye ndo ana IQ ndogo
 
Wewe ndo una IQ ndogo. Issue ya Zanzibar ni sensitive sana. Kwa waona mbali huwezi ukaijadili kijuu juu tu. Huna data unaposema "Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!. Kam unafuatilia vyombo vya habari utaelewa ni kwanini Urusi ana nchi za Europe na Marekani zinataka ushawishi wa nchi ya Ukrane hasa kisiwa cha Crimea. Ujiulize kwani vita ya Uingereza ilipigana vita kugombea kisiw cha Falkland wakati kisiwa hicho kipo karibu Km 12734 kutoka Uingereza. Kaka no reserch, no right to speak.

Inaelekea unalinganisha Maembe na Matango, badala ya Maembe kwa Maembe au Matango na Matango! Sijawahi kusikia hata siku moja iwe Bungeni au Mitaani linapokuja swala la Zanzibar watu wakaleta ishu nyingine zaidi ya hizo nilizozitaja, sijawahi kusikia kwamba tunapigania strategic interest kama ilivyo kwenye Mataifa mengine, bali sisi ni kwamba kwa nini Wazanzibari wanaruhusiwa kwetu sisi kwao haturuhusiwi, au kwanini sijui Umeme wanalipa hivi sisi vile au kwanini sisi Zanzibar Vitambulisho vya Ukazi lkn wao huku hawahitaji...

Sijawahi kusikia tukijadiliana sababu nyingine zaidi hizo, Urusi au Uingereza sababu zinajulikana kwamba huko Falksland ni Rasilimali na strategic interest, Urusi Krimea pia linajulikana na liko wazi, sijasikia Warusi au Waingereza wakibishana juu eti haki ya kwenda kuishi Falksland ukilinganisha na Mtu wa Falksland kuja kuishi Uingereza au Krimea na Urusi, hilo sijawahi kusikia!

Hivyo hayo unayoniambia kwangu ni Mapya!
 
I Agree with you we need to be rational:nono::nono::nono::nono:
 
Kijakazi wa II itapendeza sana wewe ukituonyesha jinsi ulivyo na IQ kubwa kwa kujadili/kupendekeza jibu mbadala la jambo ambao wenzetu wenye IQ ndogo kwa mujibu wa viwango vyako wapo wanalijadili?
 
Eneo la Hongkong ni 1,104 km[SUP]2 [/SUP]na ina watu zaidi ya milioni saba.

Kwa mtazamo wako hawa ndiyo watakuwa watu wasiokuwa na IQ hata kidogo. Watu wanaotaka kupata ardhi Zanzibar wanaweza kuwa na sababu zao. Inawezekana wamefikiri sana mpaka kufikia uamuzi huo.

Watu wengi sana wamekiponda kipimo cha IQ.
 
[/COLOR]Mkuu nakuunga mkono aise hasa hapo kwenye red, wengi wa watanzania wana upeo mdogo sana wa kufikiri na kutulia na kuchambua mambo si profesa, dokta au nani wengi hawana, ndo maana wengi wetu hatujui tunataka nini hasa katika Nchi hii, na wengi hawajui kwa nini wanagombea nafasi mbali mbali za uongozi hasa Urais! ila bora wamegombea, hata ukiangalia bungeni karibu wabunge wengi wana upeo mdogo sana, wengi wanadhani kuwa Siasa ni ugomvi, fitna, rafu na kupeana madongo.
Hata siasa zetu ni za low IQ, ukitaka kujua ni za low IQ fuatilia kampeni za KALENGA, jikumbushe Arumeru M, Igunga, wengi hawajui siasa wanadhani siasa ni vita!!!!
Unadhani ukimuuliza kiwete kwa nini nchi ni maskini pamoja na raslimari lukuki atakujibuje?----IQ ndogo
 
Ushahidi kwamba Watz tuna IQ ndogo ni huu kuhusu malumbano na Zanzibar! Kwa nini nasema hivyo, ukiangalia Zanzibar ina kilometa za mraba takribani 2600 (2600 km²) na Watu wasiofika Milioni moja (1,000 000) wakati Tanzania Bara ina zaidi ya kilometa za Mraba laki tisa(>900 000 km²) na watu wanaozidi milioni 40 (40 000 000) lkn tunapoteza Muda, Nchi nzima kujadili haki yetu ya kupata ardhi Zanzibar, tupoteza Muda kujadili eti kupewa haki sawa na Zanzibar ktk Muungano...

Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!

Hivyo wanaotafuta mchawi wa kwa nini sisi ni Masikini jibu lipo nalo ni moja tu, IQ!
IQ ndio ya kulaumu, yaani uwezo wa kuona na kuamua ni mambo gani ya kuyapa Kipaumbele ktk Maisha ndio mwisho wa siku unaamua ni nani aweze kuendelea kiuchumi na nani azidi kubakia kuwa Masikini...

Ukisema Watz tuna IQ ndogo nakataa, kama umesoma mambo ya Genetics, haiwezekani sote genes zetu ziko identical, lazima kuna utofauti ukizingatia tunatoka katika matabaka tofauti, pia dada na kaka hawaoani. Sema baadhi ya Tatanzania
 
An intelligence quotient, or IQ, is a score derived from one of several standardized tests designed to assess intelligence

Nafikri hata Bungeni wangepewa hii Test ili wanaopata mark za juu ndiyo wawe wachangiaji KEY ili kupunguza taarabu.
 
Back
Top Bottom