Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,021
Dah, nimecheka sana Zimbabwe?
Hahahahaha, cheki na Malawi hapo pia.
Dah, nimecheka sana Zimbabwe?
Ushahidi kwamba Watz tuna IQ ndogo ni huu kuhusu malumbano na Zanzibar! Kwa nini nasema hivyo, ukiangalia Zanzibar ina kilometa za mraba takribani 2600 (2600 km²) na Watu wasiofika Milioni moja (1,000 000) wakati Tanzania Bara ina zaidi ya kilometa za Mraba laki tisa (>900 000 km²) na watu wanaozidi milioni 40 (40 000 000) lkn tunapoteza Muda, Nchi nzima kujadili haki yetu ya kupata ardhi Zanzibar, tupoteza Muda kujadili eti kupewa haki sawa na Zanzibar ktk Muungano...
Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!
Hivyo wanaotafuta mchawi wa kwa nini sisi ni Masikini jibu lipo nalo ni moja tu, IQ!
IQ ndio ya kulaumu, yaani uwezo wa kuona na kuamua ni mambo gani ya kuyapa Kipaumbele ktk Maisha ndio mwisho wa siku unaamua ni nani aweze kuendelea kiuchumi na nani azidi kubakia kuwa Masikini...
Hahahahaha, cheki na Malawi hapo pia.
Inaelekea unalinganisha Maembe na Matango, badala ya Maembe kwa Maembe au Matango na Matango! Sijawahi kusikia hata siku moja iwe Bungeni au Mitaani linapokuja swala la Zanzibar watu wakaleta ishu nyingine zaidi ya hizo nilizozitaja, sijawahi kusikia kwamba tunapigania strategic interest kama ilivyo kwenye Mataifa mengine, bali sisi ni kwamba kwa nini Wazanzibari wanaruhusiwa kwetu sisi kwao haturuhusiwi, au kwanini sijui Umeme wanalipa hivi sisi vile au kwanini sisi Zanzibar Vitambulisho vya Ukazi lkn wao huku hawahitaji...
Sijawahi kusikia tukijadiliana sababu nyingine zaidi hizo, Urusi au Uingereza sababu zinajulikana kwamba huko Falksland ni Rasilimali na strategic interest, Urusi Krimea pia linajulikana na liko wazi, sijasikia Warusi au Waingereza wakibishana juu eti haki ya kwenda kuishi Falksland ukilinganisha na Mtu wa Falksland kuja kuishi Uingereza au Krimea na Urusi, hilo sijawahi kusikia!
Hivyo hayo unayoniambia kwangu ni Mapya!
Eneo la Hongkong ni 1,104 km[SUP]2 [/SUP]na ina watu zaidi ya milioni saba.
Kwa mtazamo wako hawa ndiyo watakuwa watu wasiokuwa na IQ hata kidogo. Watu wanaotaka kupata ardhi Zanzibar wanaweza kuwa na sababu zao. Inawezekana wamefikiri sana mpaka kufikia uamuzi huo.
Watu wengi sana wamekiponda kipimo cha IQ.
Ushahidi kwamba Watz tuna IQ ndogo ni huu kuhusu malumbano na Zanzibar! Kwa nini nasema hivyo, ukiangalia Zanzibar ina kilometa za mraba takribani 2600 (2600 km²) na Watu wasiofika Milioni moja (1,000 000) wakati Tanzania Bara ina zaidi ya kilometa za Mraba laki tisa (>900 000 km²) na watu wanaozidi milioni 40 (40 000 000) lkn tunapoteza Muda, Nchi nzima kujadili haki yetu ya kupata ardhi Zanzibar, tupoteza Muda kujadili eti kupewa haki sawa na Zanzibar ktk Muungano...
Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!
Hivyo wanaotafuta mchawi wa kwa nini sisi ni Masikini jibu lipo nalo ni moja tu, IQ!
IQ ndio ya kulaumu, yaani uwezo wa kuona na kuamua ni mambo gani ya kuyapa Kipaumbele ktk Maisha ndio mwisho wa siku unaamua ni nani aweze kuendelea kiuchumi na nani azidi kubakia kuwa Masikini...
Ushahidi kwamba Watz tuna IQ ndogo ni huu kuhusu malumbano na Zanzibar! Kwa nini nasema hivyo, ukiangalia Zanzibar ina kilometa za mraba takribani 2600 (2600 km²) na Watu wasiofika Milioni moja (1,000 000) wakati Tanzania Bara ina zaidi ya kilometa za Mraba laki tisa(>900 000 km²) na watu wanaozidi milioni 40 (40 000 000) lkn tunapoteza Muda, Nchi nzima kujadili haki yetu ya kupata ardhi Zanzibar, tupoteza Muda kujadili eti kupewa haki sawa na Zanzibar ktk Muungano...
Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!
Hivyo wanaotafuta mchawi wa kwa nini sisi ni Masikini jibu lipo nalo ni moja tu, IQ!
IQ ndio ya kulaumu, yaani uwezo wa kuona na kuamua ni mambo gani ya kuyapa Kipaumbele ktk Maisha ndio mwisho wa siku unaamua ni nani aweze kuendelea kiuchumi na nani azidi kubakia kuwa Masikini...
Ushahidi mwingine hu hapa:-
- Pesa za maendeleo nchi hua hazipo lakini linapokuja suala la kujadiri mambo ya siasa pesa hua zipo na kubaki.
- Pamoja na madhambi mengi na uongo mwingi hata na ahadi ambazo hua hawatekelezi ccm, bado Watanzania wanawachagua, mfano iliahidiwa kwenye kampeni za Mkapa 1995 kwamba atahakikisha kila wilaya (makao makuu ya wilaya) yatakua na umeme, hadi anaondoka madarakani hilo bado halijatekelezwa hadi leo.
- Tunafundisha watoto wetu kua eti makao makuu ya Tanzania yapo Dodoma while serikali yote ipo Dar na watu wote wanajua hivyo but still tunaamini tofauti.
- Tuna amini kua Tanzania ni muungano wa nchi 2, Tanganyika na Zanzibar, Zanzibar bado inaishi while Tanganyika imekufa, huyo huyo anaeishi bado anadai haki kwa mfu (though kwa mleta uzi gili haoni kama ni tatizo) hili bado mimi linanisumbua hadi leo.
- Mtu anagombea urais, tena ame faight for 10 years halafu akiulizwa kwanini nchi yako ni masikini wakati ina kila kitu na yeye anasema hata yeye haujui lakini akigombea tena, hata waliomsikia akisema kwanini nchi yetu ni masikini bado wanamchagua.
- Tuna amini kua, ukiwa na mikoa mingi pamoja na wilaya nyingi ndio kupeleka maendeleo kwa wananchi.
- ............
- ..........
- ............
amekosea kidogo kwa kutolea mfano wa zanzibar na tanganyika, lakini point yake ya kuwa asilimia kubwa ya watanzania tuna IQ ndogo ni ya kweli na kuna research zimefanyika ambazo zinaonyesha kuwa 42% ya watanzania waliwahi kuugua utapiamlo wakati wa utoto wao, harafu kuna wale ambao wametoka kwenye familia zenye uwezo lakini mtoto anakuwa mvuta bangi, petrol, madawa ya kulevya au hata unywaji wa gongo, na kuna wale wanaozaliwa na upungufu wa akili bila kujalisha uwezo wa wazazi wao, sasa hao wote ukiwajumlisha utapata karibia 60% ya watanzania wana uwezo mdogo sana wa kufikiri. ndiyo maana utakuta kiongozi wa ngazi ya juu anaropoka kitu ambacho wewe mwenye akili ukikisikia unabaki kinywa wazi, na usijaribu kumkosoa maana anaweza kukuumiza.Wewe ndo una IQ ndogo. Issue ya Zanzibar ni sensitive sana. Kwa waona mbali huwezi ukaijadili kijuu juu tu. Huna data unaposema "Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!. Kam unafuatilia vyombo vya habari utaelewa ni kwanini Urusi ana nchi za Europe na Marekani zinataka ushawishi wa nchi ya Ukrane hasa kisiwa cha Crimea. Ujiulize kwani vita ya Uingereza ilipigana vita kugombea kisiw cha Falkland wakati kisiwa hicho kipo karibu Km 12734 kutoka Uingereza. Kaka no reserch, no right to speak.
@SAIZI YANGU akili yako ni sawa na jamaa anaitwa Olonyoike Ole-Sendeka?Wewe ndo una IQ ndogo. Issue ya Zanzibar ni sensitive sana. Kwa waona mbali huwezi ukaijadili kijuu juu tu. Huna data unaposema "Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!. Kam unafuatilia vyombo vya habari utaelewa ni kwanini Urusi ana nchi za Europe na Marekani zinataka ushawishi wa nchi ya Ukrane hasa kisiwa cha Crimea. Ujiulize kwani vita ya Uingereza ilipigana vita kugombea kisiw cha Falkland wakati kisiwa hicho kipo karibu Km 12734 kutoka Uingereza. Kaka no reserch, no right to speak.
Hilo swala lako la IQ limenikumbusha study fulani hivi (Open the link ujionee). Who Are the Smartest People on Earth? World Map of Average IQ Scores | memolition
@SAIZI YANGU akili yako ni sawa na jamaa anaitwa Olonyoike Ole-Sendeka?
Dunia nzima ni ndugu na Afrika ni moja kwa nini unaing'angania Zanzibar uitawale? ba kututisha Issue ya Zanzibar sensitive unachoogopa ni nini Obama na Mrusi watatuvamia (akili ya kizamani)
Huwezi linganisha UK na Falkland ya Ajentina kwanini basi usikitawale kisiwa cha Comoro
Km kuungana si tuungane na Rwanda au Burundi maana Watanganyika wengi tuna Nasaba nao
Kilimanjaro mlima wote ulikuwa Kenya, mpaka ilipotokea Wajerumani wakampa Malkia Victoria km zawadi ya Birthday
Hayamabadilishano hayakuishia hapo tu na mwingereza kwani hata Ziwa Nyanza , Bandari ya Mombasa na Tanga vilikuwa katika mvurugano huo
Miaka 50 ya Muungano imetutesa sana na wala hiyo HATI YA MUUNGANO hatujaisoma acheni iwekwe hadharani tuone makosa na kila mtu abaki na Nchi yake.
Watanzania tuna tabia za woga au kushikiwa ndio maana nakubaliana tukiambiwa tuna IQ ndogo
Huko ndani ya CCM ni nani hasa anayeshinikiza kuwa na Serikali 2 maana hata Mwenyekiti alishasema kubalini mabadiliko
RUSSIA imesambaratika
UJERUMANI iligawanyika na sasa nchi moja
KOREA ilikuwa moja ikasambaratika
Wapeni Wazanzibar Nchi yao wajitawale hakuna haja ya Nchi 1 wala 2 wala 3
amekosea kidogo kwa kutolea mfano wa zanzibar na tanganyika, lakini point yake ya kuwa asilimia kubwa ya watanzania tuna IQ ndogo ni ya kweli na kuna research zimefanyika ambazo zinaonyesha kuwa 42% ya watanzania waliwahi kuugua utapiamlo wakati wa utoto wao, harafu kuna wale ambao wametoka kwenye familia zenye uwezo lakini mtoto anakuwa mvuta bangi, petrol, madawa ya kulevya au hata unywaji wa gongo, na kuna wale wanaozaliwa na upungufu wa akili bila kujalisha uwezo wa wazazi wao, sasa hao wote ukiwajumlisha utapata karibia 60% ya watanzania wana uwezo mdogo sana wa kufikiri. ndiyo maana utakuta kiongozi wa ngazi ya juu anaropoka kitu ambacho wewe mwenye akili ukikisikia unabaki kinywa wazi, na usijaribu kumkosoa maana anaweza kukuumiza.