SAIZI YANGU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 381
- 83
Mkuu Mzee Mwenzangu, labda wewe wanaweza kukuelewa kwa mifano mizuri uliyoitoa. Nimejaribu sana kuwaelewesha lakini nimeambulia matusi.
Mkuu ungekuwa unafuatilia siasa za kimataifa ungegundua kuwa unachoongea ni PUMBA.
Anzia ugomvi wa Kenya na Uganda juu ya kisiwa ndani ya ziwa Victoria, Sasa hivi Ukrein na Urusi, Sudani Kusini na Kasikazni, Mali (bamako) na Tualregie.....
Kuna sababu mbili kubwa, maslahi ya taifa, kiuchumi, kiusalama..., masilahi ya viongozi wa pande zote mbili, fuatilia Muungano wa Unguja na Tanganyika ulikoanzia utakuta kulikuwa na maslahi pande zote, Nyerere aliona ili awe salama na Waingereza wake lazima aiweke Zenj mikononi, huku Karume akiwa na Wa komunist alikuwa na hatari ya kupinduliwa hivyo naye akaona bora aungane awe na nguvu.
Rudi katika historia naamini utaufuta huu uzi.