mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
ahujumiwe na nani??????????????
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia serikali ikikwama kuendesha shughuli zake kwa madai kuwa hakuna fedha. Shughuli zilizokwama ni pamoja na kutoajiri walimu waliohitimu mafunzo ya ualimu, kufanya maandalizi ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne kwa wahusika kujitolea, kuendesha kesi, kuchelewesha mishahara kwa baadhi ya watumishi wake, nk,nk.
Swali la kujiuliza ni kwamba serikali imeshindwa kukusanya kodi au ni hujuma kwa Rais Kikwete kutoka kwa baadhi ya watendaji ili ionekane kwamba ameshindwa kuongoza nchi?
Dah.. Sasa kama amekuwa anapata wrong information,naye alitufundisha tuwe na akili kama Mbayuwayu..si ina maana he doesn't practice what he preaches..Rais kikwete alianza kuhujumiwa sikua nyingi tangu 2008.Wanaomhujumu wamo serikalini na ktk chama chake.amekuwa akipewa taarifa za uongo hivyo kumpelekea kuonekana kituko kwa watz.Baada ya kuonekana anagusa mafisadi hapo hujuma ndo zilianza.Mafisadi wamekuwa wakitumia wapinzani kama vipaza sauti vyao kumkaba koo Kikwete,wamekua wakitoa siri za serikal kwa kushirikiana na maafisa wa serikali.jambo la maana ni kumuunga mkono RAIS wetu na sio kumkatisha tamaa kwa kumpinga kumbe anahujumiwa.ndg zangu vita dhidi ya rushwa ni vibaya sana kuliko ugonjwa wa ukimwi.
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia serikali ikikwama kuendesha shughuli zake kwa madai kuwa hakuna fedha. Shughuli zilizokwama ni pamoja na kutoajiri walimu waliohitimu mafunzo ya ualimu, kufanya maandalizi ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne kwa wahusika kujitolea, kuendesha kesi, kuchelewesha mishahara kwa baadhi ya watumishi wake, nk,nk.
Swali la kujiuliza ni kwamba serikali imeshindwa kukusanya kodi au ni hujuma kwa Rais Kikwete kutoka kwa baadhi ya watendaji ili ionekane kwamba ameshindwa kuongoza nchi?
Wacha kusingizia watendaji Fisadi papa anajihujumu mwenyewe.
kama imefikia hali hiyo basi Tanzania hali ni mbaya. Nalog off
mkuu serikali ya JK imeongeza mahitaji zaidi ya 100% kuliko ilivyokuwa kwa mtangulizi wake. Jiulize leo kuna shule za sekondary ngapi na zinawanafunzi wangapi? unajua watu walioajiriwa ni wangapi mpaka leo. Kwa kifupi Serikali ya JK imeongeza vitu vingi sana vizuri ila imeshindwa kwenda sambamba na kuvihudumia. msijifanye vipofu.Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia serikali ikikwama kuendesha shughuli zake kwa madai kuwa hakuna fedha. Shughuli zilizokwama ni pamoja na kutoajiri walimu waliohitimu mafunzo ya ualimu, kufanya maandalizi ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne kwa wahusika kujitolea, kuendesha kesi, kuchelewesha mishahara kwa baadhi ya watumishi wake, nk,nk.
Swali la kujiuliza ni kwamba serikali imeshindwa kukusanya kodi au ni hujuma kwa Rais Kikwete kutoka kwa baadhi ya watendaji ili ionekane kwamba ameshindwa kuongoza nchi?
mkuu serikali ya JK imeongeza mahitaji zaidi ya 100% kuliko ilivyokuwa kwa mtangulizi wake. Jiulize leo kuna shule za sekondary ngapi na zinawanafunzi wangapi? unajua watu walioajiriwa ni wangapi mpaka leo. Kwa kifupi Serikali ya JK imeongeza vitu vingi sana vizuri ila imeshindwa kwenda sambamba na kuvihudumia. msijifanye vipofu.
uvumilivu huu mpaka linii.............