ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,829
Nchi ya Ethiopia imetangazwa kufilisika baada ya Kushindwa kuwalipa Madeni wadai wake deni linalofikia $1bln hivyo kujiunga na Ghana na Zambia kama Mataifa yaliyotangazwa kufilisika.
View: https://twitter.com/NationAfrica/status/1739633774206271685?t=_ExI8xB_5N_h1wvXy9oo1Q&s=19
Ethiopia inatupia lawama ubiko 19 na vita kwamba ndio vimesababisha ikose pesa za kigeni.Hali hii inakuja kukiwa na mfumuko mkubwa wa bei Nchini humo.
Kiufupi Nchi ya Ethiopia Kwa Sasa haikopesheki na haiaminiki tena na wakopeshaji hivyo itategemea Msaada kutoka WB/IMF na Msaada wa kusamehewa Madeni kama Wadai wake watakubali.
View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1739686571035562423?t=Ooke8aVyYLvDvcD9aLiLww&s=19
My Take
Kuna Nchi jirani baada ya kuona inaelekea kufilisika ilianzisha msululu wa Kodi na tozo kuwakamua watu wake Ili kulipa Madeni kiasi kwamba Rais wake amepewa jina la Mtoza Ushauri..
Serikali ya Tanzania iwe makini na mikopo isiyo na msingi mfano nomesoma eti Ummy Mwalimu anadai Wizara ya Afya itatoa Mafunzo Kwa Wataalamu wa Afya yatakayigharimu Bil.625.Huu upuuzi na wizi tuukatae Kwa Nguvu zote maana baadae tutapandishiwa msululu wa makodi na wao watakuwa wamepiga pesa wametukia huko.
View: https://www.instagram.com/p/C1MBcmnKsI5/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
View: https://twitter.com/NationAfrica/status/1739633774206271685?t=_ExI8xB_5N_h1wvXy9oo1Q&s=19
Ethiopia inatupia lawama ubiko 19 na vita kwamba ndio vimesababisha ikose pesa za kigeni.Hali hii inakuja kukiwa na mfumuko mkubwa wa bei Nchini humo.
Kiufupi Nchi ya Ethiopia Kwa Sasa haikopesheki na haiaminiki tena na wakopeshaji hivyo itategemea Msaada kutoka WB/IMF na Msaada wa kusamehewa Madeni kama Wadai wake watakubali.
View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1739686571035562423?t=Ooke8aVyYLvDvcD9aLiLww&s=19
My Take
Kuna Nchi jirani baada ya kuona inaelekea kufilisika ilianzisha msululu wa Kodi na tozo kuwakamua watu wake Ili kulipa Madeni kiasi kwamba Rais wake amepewa jina la Mtoza Ushauri..
Serikali ya Tanzania iwe makini na mikopo isiyo na msingi mfano nomesoma eti Ummy Mwalimu anadai Wizara ya Afya itatoa Mafunzo Kwa Wataalamu wa Afya yatakayigharimu Bil.625.Huu upuuzi na wizi tuukatae Kwa Nguvu zote maana baadae tutapandishiwa msululu wa makodi na wao watakuwa wamepiga pesa wametukia huko.
View: https://www.instagram.com/p/C1MBcmnKsI5/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==