Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,387
Ule ushahidi uliopatikana kwa kutumia vifaa vya kisasa na ambao utaitikisa nchi bado haujatolewa hadi hapo tutakapo ona inafaa kufanya hivyo ni tukiwa na uhakika kuwa rais amegoma kuunda tume ya kijaji. Mwenyezi MUNGU awapunguzie adhabu za kaburi wale wote walipoteza uhai wao kwenye shambulio hili. Peeeeeeeeeopleeeeees power