Ushahidi wa mlipuko wa bomu mkutano wa CHADEMA Arusha

Ushahidi wa mlipuko wa bomu mkutano wa CHADEMA Arusha

Nduka

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2008
Posts
8,552
Reaction score
2,387
Ule ushahidi uliopatikana kwa kutumia vifaa vya kisasa na ambao utaitikisa nchi bado haujatolewa hadi hapo tutakapo ona inafaa kufanya hivyo ni tukiwa na uhakika kuwa rais amegoma kuunda tume ya kijaji. Mwenyezi MUNGU awapunguzie adhabu za kaburi wale wote walipoteza uhai wao kwenye shambulio hili. Peeeeeeeeeopleeeeees power
 
Ule ushahidi uliopatikana kwa kutumia vifaa vya kisasa na ambao utaitikisa nchi bado haujatolewa hadi hapo tutakapo ona inafaa kufanya hivyo ni tukiwa na uhakika kuwa rais amegoma kuunda tume ya kijaji. Mwenyezi MUNGU awapunguzie adhabu za kaburi wale wote walipoteza uhai wao kwenye shambulio hili. Peeeeeeeeeopleeeeees power
ni vizuri hushahidi huo utolewe mapema
 
Ule ushahidi uliopatikana kwa kutumia vifaa vya kisasa na ambao utaitikisa nchi bado haujatolewa hadi hapo tutakapo ona inafaa kufanya hivyo ni tukiwa na uhakika kuwa rais amegoma kuunda tume ya kijaji. Mwenyezi MUNGU awapunguzie adhabu za kaburi wale wote walipoteza uhai wao kwenye shambulio hili. Peeeeeeeeeopleeeeees power


Nikadhani ndio una habari kamili kumbe.
 
Mnatumia damu za watu kujinufaisha kisiasa! Ushahidi mnataka utolewe kwa lengo la kujipaisha kisiasa! Kuna familia zinepoteza wapendwa wao nyie mnasema tutatoa badae!
 
Mnatumia damu za watu kujinufaisha kisiasa! Ushahidi mnataka utolewe kwa lengo la kujipaisha kisiasa! Kuna familia zinepoteza wapendwa wao nyie mnasema tutatoa badae!
Mlengo wa Kati msiwe na wasiwasi mtu makini kama Freeman Mbowe hawezi kukurupuka kutoa ushahidi. Na kwakuwa tunajua hili suala linahusu maisha ya watu tumelipa kipaumbele kabisa kwenye ajenda za chama. Tutalitekeleza.
 
Last edited by a moderator:
hakuna kutoa ushahidi hadi tume iundwe.Si walisema Mbowe akigoma kuutoa watamkamata?sasa kipi kimewazuia kufanya vile hadi leo
 
Napata mashaka sana na utashi wa watu waliopo kwenye hiki Chama, na muelewe kuwa hyo damu mnaoitumia kujinufaisha kisiasa ipo siku itawatokea masabulin,,,,,,,,,,,endeleen na dirty poltics zetu ipo siku tu
 
Hata mh mwakyembe alivyokuwa anasoma report yake bungenikuhusu richmond,,,hakusema kila kitu kwa maslai ya serikali ya ccm,,,,hata report ya tukio la arusha litategemea linaleta impact gani kwa serikali,,,,kama ni negative ,,wananchi tusahau kabisa
 
hakuna kutoa ushahidi hadi tume iundwe.Si walisema Mbowe akigoma kuutoa watamkamata?sasa kipi kimewazuia kufanya vile hadi leo

Na bora Mbowe awakomoe maCCM asitoe huo ushahidi maana kwa kutenda hivyo atakuwa anawatendea haki waliopoteza uhai wao.
 
Nadhani utakuwa umefurahi sasa ewe gamba Nduka ambaye ni mwana ccm mnazi kwa kuanzisha kauzi haka. Anyway kachukue buku 7 kama kawa.
 
Back
Top Bottom