Ushahidi tuhuma za January Makamba

Ushahidi tuhuma za January Makamba

Wakuu.
mtakumbuka kuwa mwaka 2013 mwishoni, bila huruma, bila kujiuliza mara mbilimbili, mitandaoni kote, vijana kwa wazee walisimama kidete kumshambulia aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chadema kipindi hicho ndugu Zitto Kabwe kuwa amehongwa mabilioni na wanaCCM kukihujumu chama chake.

jana kukazuka mjadala kama huo ulioanzia mitandaoni humu humu kumuhusu mwanasiasa kijana mwengine January Makamba safari hii huyu akihusishwa na dada yake kutumia vibaya madaraka na kujinufaisha mpaka kufikia kiasi cha kudaiwa kumdhulumu aliyeitwa muitaliano Vincenzo Nizzolino.

leo Raia huyo wa Italia Vincenzo Cozzolino aliyesababisha mtafaruku mkubwa jana baada ya kuvujisha mazungumzo yake kwenye mitandao ya kijamii na mpenzi wake wa zamani Mwamvita Makamba amejitokeza hadharani na kuomba radhi kwa kuihusisha familia ya Makamba na ufisadi.

Katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo mchana, Vincenzo amesema alifadhaika kutokana na familia ya Makamba kushindwa kumsikiliza baada ya ugomvi wao na kuongeza kuwa hakuwahi kutoa kiasi chochote cha pesa kwa January wala hakuwahi kumuomba amsaidie katika biashara zake. Pia amesikitishwa na kitendo cha Mange Kimambi kuingiza masuala ya siasa katika mtafaruku wake na Mwamvita. Kwa Habari zaidi, soma taarifa yake aliyoituma kwa Neville Meena, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima hapo chini;.

ushauri.
kabla hatujahukumu, ni vema tukajiridhisha kwanza kuhusiana na tuhuma mbalimbali, hata kama tunawachukia namna gani watu waliotajwa.
wasalaam.
Hivi wewe mbona huwa huna pa kushika?hivi upo act au ccm?angalia njaa isikumalize brother
 
Huyo kapewa agizo tu!

Nakumbuka niliwaambia hapa msije kushangaa hata hiyo press confrerence inafutwa.
Tunamuomba magufuli amtimue kazi huyo makamba maana tayari kesha iaibisha serikali yake
 
Nasikitika, maana naona mtu uliyereta utetezi kama ni kijana mwenzangu, ambaye hata kama umetumwa na makamba ufanye hivyo,basi wewe tahaluma yako uitendei haki hata kama unatahaluma ya sayansi kimu, hisikufanye kuwa kasuku wa wanansiasa ambao wanatuma kama Makamaba, nataka niseme wazi katika sakata hili inatakiwa iundwe tume mahalumu nipo tayari kujitolea, lazma kuna jambo hapa.
Mkuu huyo jamaa ni chumia tumbo mara utamsikia yupo act mara utamsikia anamtetea February
 
Ukiusoma huo utetezi wa muitaliano, unanusa kitu.

Anyway kama ningekuwa Magufuli tayari Makamba ningeshamweka kwenye black box.

Jinsi ya kumfuta kazi, ni lini nimfute kazi, hilo ndo libaki kuwa swali.

The good thing namwona Magufuli kama mtu mwenye ubongo.

Anaonyesha wazi kwamba anahitaji kiongozi kwenye team yake kuwa zaidi ya kutoshikwa na tuhuma.

Hata tetesi juu yako hazipaswi kuwepo.
 
Hiyo barua yenu ni ya Mwaka 2006.

This time around, January Makamba utajamba na kunya hadharani.
 
I can bet kuwa Huyu mgosi mwenzangu atakaa benchi. Inauma lakini naona Kama halikwepeki. Pole Mbunge wangu . Kaa pembeni ujipange upya . Uje kivingine
 
Nasikitika, maana naona mtu uliyereta utetezi kama ni kijana mwenzangu, ambaye hata kama umetumwa na makamba ufanye hivyo,basi wewe tahaluma yako uitendei haki hata kama unatahaluma ya sayansi kimu, hisikufanye kuwa kasuku wa wanansiasa ambao wanatuma kama Makamaba, nataka niseme wazi katika sakata hili inatakiwa iundwe tume mahalumu nipo tayari kujitolea, lazma kuna jambo hapa.
Duh..kiswahili chako c mchezo
 
Wakuu.
mtakumbuka kuwa mwaka 2013 mwishoni, bila huruma, bila kujiuliza mara mbilimbili, mitandaoni kote, vijana kwa wazee walisimama kidete kumshambulia aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chadema kipindi hicho ndugu Zitto Kabwe kuwa amehongwa mabilioni na wanaCCM kukihujumu chama chake.

jana kukazuka mjadala kama huo ulioanzia mitandaoni humu humu kumuhusu mwanasiasa kijana mwengine January Makamba safari hii huyu akihusishwa na dada yake kutumia vibaya madaraka na kujinufaisha mpaka kufikia kiasi cha kudaiwa kumdhulumu aliyeitwa muitaliano Vincenzo Nizzolino.

leo Raia huyo wa Italia Vincenzo Cozzolino aliyesababisha mtafaruku mkubwa jana baada ya kuvujisha mazungumzo yake kwenye mitandao ya kijamii na mpenzi wake wa zamani Mwamvita Makamba amejitokeza hadharani na kuomba radhi kwa kuihusisha familia ya Makamba na ufisadi.

Katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo mchana, Vincenzo amesema alifadhaika kutokana na familia ya Makamba kushindwa kumsikiliza baada ya ugomvi wao na kuongeza kuwa hakuwahi kutoa kiasi chochote cha pesa kwa January wala hakuwahi kumuomba amsaidie katika biashara zake. Pia amesikitishwa na kitendo cha Mange Kimambi kuingiza masuala ya siasa katika mtafaruku wake na Mwamvita. Kwa Habari zaidi, soma taarifa yake aliyoituma kwa Neville Meena, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima hapo chini;.

ushauri.
kabla hatujahukumu, ni vema tukajiridhisha kwanza kuhusiana na tuhuma mbalimbali, hata kama tunawachukia namna gani watu waliotajwa.
wasalaam.
Amazing! Huyu muitaliano anaandika kiingereza kizuri tofauti kabisa na lafudhi yake. Yaani hutegemei atakinyoosha hivi. mshana jr hii ni part ya ngapi?
 
Huyo kapewa agizo tu!

Nakumbuka niliwaambia hapa msije kushangaa hata hiyo press confrerence inafutwa.
Ulitaka iweje mbona uongo huwa unajitenga pale ukweli unapodhihili. Tuwe na fikra nyumbufu pale unapoona hoja yako imezidiwa nguvu unakuwa mpole na kujipanga upya.
Hali hii ya kuelewa kuwa jambo hili si la kweli ulilielewa mapema sana kutokana na udhaifu wa hoja yenyewe lakini kwa sababu zenu za kisiasa au chuki binafsi mlishabikia.
Tubadilike tusitawaliwe na chuki.
 


Single ya february finito, tuhangaike na single ya secue sasa hahahahaha...
 
Muitaliano kawekwa sawa sijui kwa gear ipi nina hamu ya kujua.
Maana am sure kapozwa au kapigwa bit.
Baada ya apo tutasikia mengi mno
 
Back
Top Bottom