Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 7,658
- 3,746
Katika jambo moja nitamsifu siku zote ni kuhakikisha alikuwa anadocument kila kitu alichopitia na kuwataja wahusika waliyo nyuma ya hayo matukio yote.
Kuna mara nyingine alishare kupitia maandishi vitabu, posts za mitandaoni, mara nyingine alifanya kupitia Videos ambazo pia alishare mitandaoni. Hakutaka kuficha kitu jambo ambalo litaleta manufaa makubwa pale mahakama ukipata UHAI na UHURU.
Kama ulipitwa na umeanza kufuatilia siasa jana, usijione mnyonge, hii ni moja ya barua yake ya mwisho akielezea kikundi cha kikatili ambacho kinampango wa kumpora uhai wake.
Kuna mara nyingine alishare kupitia maandishi vitabu, posts za mitandaoni, mara nyingine alifanya kupitia Videos ambazo pia alishare mitandaoni. Hakutaka kuficha kitu jambo ambalo litaleta manufaa makubwa pale mahakama ukipata UHAI na UHURU.
Kama ulipitwa na umeanza kufuatilia siasa jana, usijione mnyonge, hii ni moja ya barua yake ya mwisho akielezea kikundi cha kikatili ambacho kinampango wa kumpora uhai wake.