Hiyo iliyoanguka piga picha kwa mbele. Maana umeleta picha ya nyuma na mbele. Usitufanye mazezeta.I don't care, naongelea uhalisia. Uzushi unakusaidia nini ewe mwenye elimu kubwa? Pia ni vema ungejikita kufuatilia ugomvi wa kiti cha urais huko Kenya kuliko kushadidia mambo ya Tz.