mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
kma hammtak lowasa ni heli mnywe sum maana siku akitangazwa nshind mtaumia zaid!sasa mnaonaje mkikabugia tu kasumu mapema!.
Milele amina. Hawezi hata kuwa mbunge, achilia mbali urais
kma hammtak lowasa ni heli mnywe sum maana siku akitangazwa nshind mtaumia zaid!sasa mnaonaje mkikabugia tu kasumu mapema!.
Siamini! siamini! siamini!
Ushabiki huu ulipoanza nilidhani kejeli. Baadhi walianza kwa kusema Lowassa bado ana nguvu sana ndani ya CCM nikaamini (nakubaliana na hilo 100%), Wengine wakasema yeye ni mkali kidogo kuliko JK nikakubaliana na hilo na mengine mengi yakaja ya ukweli na ya uongo. Sikudhania itafika siku watokee watu wa kumkweza Lowasa kufikia hatua ya kuanza kampeni za kumtafutia urais mapema kiasi hiki.
Mmoja kaamua kumlinganisha Lowassa na Dr. Slaa akidai mmoja kati ya hawa pekee ndiye angefaa kuongoza nchi yetu (kama itakuwapo bado) ifikapo 2015 Oktoba. Nimeshtuka sana kuiona hali hii ya ushabiki wa ghafla-ghafla kumuunga mkono Lowasa.
Hawa watu wanaotaka Lowassa (ambaye yupo tayari kufanya lolote kupata urais) awe na hadhi sawa na Dr. Slaa (aliyesubiri watu wengine waseme anafaa urais na kumwomba agombee) wanatumia kigezo gani?
Lowassa aliyedai wabunge wamemwandama kwa habari za magazeti ya udaku na kushindwa kuthibitisha hilo leo anafaa vipi kuwa rais wa Tanzania? Kwanini kama tunaipenda nchi yetu kwa dhati tusimtupilie mbali jumla ili akija kiongozi mwingine awe na nidhamu na kujua kuwa watanzania ukiokosea wanakutimua na ajizuie kukosea maksudi?
Je, ni kweli kwamba tumefilisika viongozi wanaofaa na kubakiwa na Lowasa pekee huko kwenye Magamba? Is it possible kwamba tu wajinga kiasi hicho au ni laana ya fedha ili tuamini kuwa wanaompigia debe wanatarajia kupata fadhila zake mzee huyo, asiyecheka na wanyonge kama watendaji katika wilaya na kuwanyenyekea wenye fedha kama Rostam hata kufikia kupindisha sheria maksudi ili watajirike zaidi kwa gharama za wanyonge? Ya Richmond si madogo lakini naamini vyombo vyetu vya dola vingekuwa huru vingegundua madudu mengine zaidi.
Nawatahadharisha watanzania kutofanya kosa la kumfagilia Lowassa, si kwa ajili ya kumwadabisha tu bali kuweka msingi imara kwa waroho kama yeye endapo watajitokeza next time. Viongozi wajao wanatakiwa kujifunza kutokana na adabu tutakazoamua kuwatia kina Mkapa, JK na wapambe wao kwa makosa ya kukusudia waliyofanya ili kujitajirisha.
Tuendelee kumwomba Mwenyezi Mungu atuasaidie kupata viongozi bora na kutuepusha na watu wa "Zamu Yetu" kama Ridhiwan, JK, Lowassa na wengine wengi ambao tutazijua habari zao vema baada ya serikali ya wanamtandao kuondoka madarakani.
je unadhani wanaoshabikia CCM akili zao ziko sawa?Jibu unaloUshabiki kwa Lowasa ni UJINGA uliokithiri wa Watanzania. Ni kweli kuna wanaohongwa pesa, ila hao ni wachache. Hawazidi 2000. Wengine wooote, upumbavu tu
je unadhani wanaoshabikia CCM akili zao ziko sawa?Jibu unalo.Ni nani kawafanya watanzania wajinga tena wapumbavuUshabiki kwa Lowasa ni UJINGA uliokithiri wa Watanzania. Ni kweli kuna wanaohongwa pesa, ila hao ni wachache. Hawazidi 2000. Wengine wooote, upumbavu tu
Ukawa wanampamba kingunge ndo maana Jana mkampa dakika 40, lowasa 7 akili zenu hivyo,Upuuzi mtupu, unataka apambwe nani sasa mkuu mbona hujamtaja, hujaeleweka, ushauri gani wa namna hii.
Yaelekea mleta mada ni mtu ambaye hujitegemei kifikra.
Siamini! siamini! siamini!
Ushabiki huu ulipoanza nilidhani kejeli. Baadhi walianza kwa kusema Lowassa bado ana nguvu sana ndani ya CCM nikaamini (nakubaliana na hilo 100%), Wengine wakasema yeye ni mkali kidogo kuliko JK nikakubaliana na hilo na mengine mengi yakaja ya ukweli na ya uongo. Sikudhania itafika siku watokee watu wa kumkweza Lowasa kufikia hatua ya kuanza kampeni za kumtafutia urais mapema kiasi hiki.
Mmoja kaamua kumlinganisha Lowassa na Dr. Slaa akidai mmoja kati ya hawa pekee ndiye angefaa kuongoza nchi yetu (kama itakuwapo bado) ifikapo 2015 Oktoba. Nimeshtuka sana kuiona hali hii ya ushabiki wa ghafla-ghafla kumuunga mkono Lowasa.
Hawa watu wanaotaka Lowassa (ambaye yupo tayari kufanya lolote kupata urais) awe na hadhi sawa na Dr. Slaa (aliyesubiri watu wengine waseme anafaa urais na kumwomba agombee) wanatumia kigezo gani?
Lowassa aliyedai wabunge wamemwandama kwa habari za magazeti ya udaku na kushindwa kuthibitisha hilo leo anafaa vipi kuwa rais wa Tanzania? Kwanini kama tunaipenda nchi yetu kwa dhati tusimtupilie mbali jumla ili akija kiongozi mwingine awe na nidhamu na kujua kuwa watanzania ukiokosea wanakutimua na ajizuie kukosea maksudi?
Je, ni kweli kwamba tumefilisika viongozi wanaofaa na kubakiwa na Lowasa pekee huko kwenye Magamba? Is it possible kwamba tu wajinga kiasi hicho au ni laana ya fedha ili tuamini kuwa wanaompigia debe wanatarajia kupata fadhila zake mzee huyo, asiyecheka na wanyonge kama watendaji katika wilaya na kuwanyenyekea wenye fedha kama Rostam hata kufikia kupindisha sheria maksudi ili watajirike zaidi kwa gharama za wanyonge? Ya Richmond si madogo lakini naamini vyombo vyetu vya dola vingekuwa huru vingegundua madudu mengine zaidi.
Nawatahadharisha watanzania kutofanya kosa la kumfagilia Lowassa, si kwa ajili ya kumwadabisha tu bali kuweka msingi imara kwa waroho kama yeye endapo watajitokeza next time. Viongozi wajao wanatakiwa kujifunza kutokana na adabu tutakazoamua kuwatia kina Mkapa, JK na wapambe wao kwa makosa ya kukusudia waliyofanya ili kujitajirisha.
Tuendelee kumwomba Mwenyezi Mungu atuasaidie kupata viongozi bora na kutuepusha na watu wa "Zamu Yetu" kama Ridhiwan, JK, Lowassa na wengine wengi ambao tutazijua habari zao vema baada ya serikali ya wanamtandao kuondoka madarakani.
Nashukuru siasa za mwaka huu. Zinaashiria kuzaliwa kwa Tanzania Mpya kabisa. Kwa wanaotafakari vyema CCM haitakuwa tena ile ile wala upinzani hautakuwa ule. Something really really great has just transcended our politics!!
Upuuzi mtupu, unataka apambwe nani sasa mkuu mbona hujamtaja, hujaeleweka, ushauri gani wa namna hii.
Yaelekea mleta mada ni mtu ambaye hujitegemei kifikra.
Lowasa sasa Kahamia CDM....uchafu umegeuka kuwa usafi kisa mchafuzi kabadili nguo ilhal moyo na damu ni ile ile
Mkuu manyumbu haya achana Nao wangu kuwa na akili Jana arusha wangempa kingunge kueleza Sera dakika 40, na lowasa dakika 7, aibu ya karne,Mleta mada aliandika uzi huu mwaka 2011 kipindi ambacho ww na Kubenea Mlikuwa mnamuita Fisadi....uwe unatumia akili kidogo
je unadhani wanaoshabikia CCM akili zao ziko sawa?Jibu unalo.Ni nani kawafanya watanzania wajinga tena wapumbavu
Sasa CCM imekuwa safi baada ya Lowassa kutoka? Chenge, Ngeleja na wengine vipi? Halafu kama mnaamini ni mchafu kwanini hakushughulikiwa? Maana yake CCM ni dhaifu haiwezi kupambana hata na mtu mmoja tu kwa faida ya Taifa-hakika imechoka, ipumzishwe.Lowasa sasa Kahamia CDM....uchafu umegeuka kuwa usafi kisa mchafuzi kabadili nguo ilhal moyo na damu ni ile ile
Nyie mgekuwa na akili timamu, mgefanya haya,
1,slaa wa nini kingunge safi sana?
2,kingunge dakika 40 za kumwaga Sera, lowasa dakika 7?
Nafikiri sio nyie kuna shida mnayo akilini sio bure,