Siamini! siamini! siamini!
Ushabiki huu ulipoanza nilidhani kejeli.
Sikudhania itafika siku watokee watu wa kumkweza Lowasa kufikia hatua ya kuanza kampeni za kumtafutia urais
Sifa zote apewe huyo Lowasa lakini hili la urais wetu watanzania HAPANA amepoteza sifa. Anahusika na ufisadi wa EPA kupata pesa za kumpigia kampeni swahiba wake, dowan anahusika pia, mvua ya thailand nao ulikuwa ni wizi tu hafai hatufai
Tangu nimesikia Lowasa anataka Uraisi wa nchi sijawahi kumsikia atawafanyia nn watanzania zaidi ya kila siku anajisifia kuwa na maamuzi magumu hata mm sitompatia kura yangu kwani hana jipya zaidi ya kuutaka uongozi maana amekaa katika sirikari ya ccm tangu utoto mpaka leo hivyo na yy ni chanzo cha mfumo mbaya ingawa jana nilimsikia anamlaumu mwenzake kuwa hamearibu uchumi wa nchi. nu upumbavu mtupu kwani yeye ni mmoja wao.
adanganye wengine
Lowasa mbona naye ni ccm B au unajitoa akili?Laana mbaya ni kuishabikia ccm kama zuzu kutokana na kupewa vitisheti kanga na kofia .Lowasa ni kiongozi anayetakiwa sasa.tumechoshwa na maigizo ys ccm.
Lowasa mbona naye ni ccm B au unajitoa smiling?Laana mbaya ni kuishabikia ccm kama zuzu kutokana na kupewa vitisheti kanga na kofia .Lowasa ni kiongozi anayetakiwa sasa.tumechoshwa na maigizo ys ccm.
kma hammtak lowasa ni heli mnywe sum maana siku akitangazwa nshind mtaumia zaid!sasa mnaonaje mkikabugia tu kasumu mapema!.