mnahangaika nini? Lowassa ndie Rais na tupo hapa hapa jamvini msijekimbia, hapa hapatikani kiongozi msafi, isipokuwa wa kuweza kutukomboa ni Lowassa au Slaa tu
ww unacheza makida makida uwenda ujui nini unafanya tumpe mwizi nchi
mnahangaika nini? Lowassa ndie Rais na tupo hapa hapa jamvini msijekimbia, hapa hapatikani kiongozi msafi, isipokuwa wa kuweza kutukomboa ni Lowassa au Slaa tu
Mimi naona kumfagilia Lowassa ni sawa sawa na kukubali ku-settle for less. Watanzania tusijishushe kiasi hiki kwakweli we can do better than this ( We do not need JK and we do not need Lowassa either; wote ni hao hao tu sema strategies na uelewa umetofautiana lakini kama grade one is -F na mwingine +F (if it exist). Kweli CCM wameishiwa kabisa? Kama CCM wako serious lazima waelewe this is not a popularity contest ni lazima wamteue kiongozi mzalendo, mwenye uchungu na nchi sio kuendeleza usanii.
Mtu huyu ni HATARI san tena ni mtu wa kulipa visasi,bora akae mbali kabisa na URAIS asituharibie nchi,naapa kabisa huyu akipewa URAIS haitaisha miaka 2 LAZIMA machafuko makubwa yatokee tena vita vya wenyewe kwa wenyewe
el hatasaulika kwa kuwa mwepesi wa kuchukua maamuzi hasa kuwaachisha kazi maofisa wazembe wa serikali. Pia ametoa mchango mkubwa kujenga shule za sekondari katika kila kata nchini. Akiwa rais atainua kiwango cha huduma za afya kwani atahamasisha ujenzi wa zahanati kila katakwa maana nyingine hata laana anayo kutoka kwa baba kwani kama baba ameamua kukushitaki ina maana mkwara wote na laana hazijasaidia halafu mtu kama huyu ndo anajidai anaipenda sana tz. Hatudanganyikiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
akipewa urais mimi nahama nchi
Binafsi bado sijaona ubaya wa lowasa, kwa kuwa mambo yoooote mabaya yanayoongelewa juu yake ni ya kizushi hakuna hata moja lenye ushahidi. ila nimjuavyo mimi huyu bwana ni mchapa kazi kuliko JK na Pinda.
MCHONGANISHI
Tunawachukia wote. Ndiyo maana mtu yeyote aliye na harufu ya kifisadi tunasema hatufai. Tanzania deserves better. Na Lowassa atakuwa worse than Kikwete, worse than Mkapa, worse than Mwinyi.
Afadhali tujiepushe naye mbali kwa sababu naamini kuna Watanzania wenye uwezo wa kuongoaza nchi hii mbali na Lowassa. Akae pembeni ale mali zake (kama hazitakamatwa na mwendawazimu mmoja).