GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,292
- 6,772
Juzi nilikuwa kijijini Jaribu mpakani - Rufiji.
Sijui Simba ilikuwa inacheza natimu gani siku hiyo. Jamaa mmoja
ambaye ni maarufu kwa jina la Messi alikuwa amechukua redio
yake ndogo chooni huku akisikiliza mpira huo.
Kama unavyojua vyoo vingi vijijini milango yake ni ya gunia.
Balaa ilikuja baada ya Sunzu kama sikosei kufunga bao, Jamaa
kajisahau kuwa yuko Chooni, kakurupuka pale kwenye shimo
huku akiwa kama alivyozaliwa na kutoka nje na kiredio chake
huku akishangilia.......
Duh! huu ushabiki!
Sijui Simba ilikuwa inacheza natimu gani siku hiyo. Jamaa mmoja
ambaye ni maarufu kwa jina la Messi alikuwa amechukua redio
yake ndogo chooni huku akisikiliza mpira huo.
Kama unavyojua vyoo vingi vijijini milango yake ni ya gunia.
Balaa ilikuja baada ya Sunzu kama sikosei kufunga bao, Jamaa
kajisahau kuwa yuko Chooni, kakurupuka pale kwenye shimo
huku akiwa kama alivyozaliwa na kutoka nje na kiredio chake
huku akishangilia.......
Duh! huu ushabiki!