I dont support this kind of ushabiki bana! ni upunguani unaoonyesha jinsi gani Watanzania wanavyokosa uzalendo! nina imani hata Setif walishangaa mbona watanzania wengi hivyo wanawashangilia!
nakumbuka ile siku Chelsea inacheza na Napolli...nilifuatilia thru Twitter messages za wachezaji wengi wa kalbu za uingereza..for that moment, wote walikuwa wanaisupport Chelsea, regardless their teams, bila kujali kama walitolewa wao, bila kujali kama wakiwashangilia it will mean Chelsea ndo timu pekee ya England in the CL!
Watanzania bado hatujastaarabika kwenye ushabiki..inasikitisha!
...na hapo sijaangalia uhuni ambao umekuwa ukifanyika kwenye most of these recent matches..its a big shame!!!