Si ajabu akawa anamwamkia “shkamoo muheshimiwa baba,pole kwa safari",nini kilichompeleka airport yaani alimuamuru driver kuwasha V8 usiku kwenda kumpokea mtu mzima anaepajua anapoishi,hope alichukua bodaboda maana haingii akilini..aibu hii.Dogo mpenda sifa huyu
Kazi zingine utumwaSi ajabu akawa anamwamkia “shkamoo muheshimiwa baba,pole kwa safari",nini kilichompeleka airport yaani alimuamuru driver kuwasha V8 usiku kwenda kumpokea mtu mzima anaepajua anapoishi,hope alichukua bodaboda maana haingii akilini..aibu hii.
hata Mh Rais anaonekana anamuangalia akiwa na maswali kichwaniSi ajabu akawa anamwamkia “shkamoo muheshimiwa baba,pole kwa safari",nini kilichompeleka airport yaani alimuamuru driver kuwasha V8 usiku kwenda kumpokea mtu mzima anaepajua anapoishi,hope alichukua bodaboda maana haingii akilini..aibu hii.
Hiyo fuselage mbona kama imebonyea hapo karibu na mlango? Wachunguzi muiangalie vema, manake stress za huko angani isije ikawa kama ndege za Comet! Bado tuna wahitaji watanzania wenzetu (na wasio waTz) wanaozitumia ndege hizo.
Yatakuja yatokee yasiyotarajiwa...HIVI HIYO NDEGE YA MWAKA GANI VILE NA NI YA KAMPUNI GANI ??
Anamshangaa,inaonekana amebebwa ila habebeki coz kuna vitu anavifanya hata boss wake vinamkera(kama hili,tungetegemea tumuone mkewe Mh Magu but tunamuona mkuu wa mkoa)ina maana kawa mlinzi wake?kama alimchukua dereva,lazima alimlipa over time huo si ufujaji wa pesa za umma,mafuta yaliyotumika pia alitoa pesa mfukoni mwake?Rais anatamani amwambie ila siku atakayomwambia ataikuta barua kwa katibu wake.time will tell.hata Mh Rais anaonekana anamuangalia akiwa na maswali kichwani
Kumbe na we umeina brohJamaa anayefuata Anafeki smile muda si mrefu atatumbuliwa