USD 1200 kwa kila Mzanzibari!

Si wameolewa wazanzibari, ubaya gani tena kuwapa mahari kila Mwaka kila mzanzibari 1202$ ?

Nikiwa mke na hutaki niendelee, unlaumiani?
kwanza umeniowa kwa ndoa isio na talaka, kila miaka mitano untia mimba ya mtoto wako, kisha wamsingizia mwanharamu! hee mdanganyika, unzidi!

Niache basi na ndoa iso talaka, uone nafa au ntaishi!

Hivi hii posa ya muungano aliyeileta nani?


Good point!
 
Zakumi,

..Tanganyika ni kubwa sana kuliko Zenj.

..wa-Tanganyika wengi hawana hata habari kwamba kuna Muungano. ndiyo maana husikii wakipiga kelele uvunjwe.

..tatizo ni kwamba wa-Zenj wakitaka kuingiza bidhaa zao Tanganyika bila kulipa ushuru wanaleta kisingizio kwamba wao ni sehemu ya Muungano. baadaye wakitaka kuanzisha bandari huru wanadai wao ni taifa huru waachiwe waamue mambo yao bila kuingiliwa.


JokaKuu:

Hoja ya kusema waZanzibar wakitaka kuingiza bidhaa zao Tanganyika bila ya kulipa ushuru wanaleta visingizio haina maana yoyote na inaonyesha ni jinsi gani waTanganyika pamoja na wachumi wetu tulivyo nyuma katika masuala ya biashara.

Kwanza, wanaoleta bidhaa Tanganyika sio waZanzibar, bali ni wafanya biashara wanao-take advantage ya masuala ya ushuru. Na ukiweka ushuru mdogo Tanganyika kuliko Zanzibar, wafanyabishara haohao watatoa bidhaa Tanganyika na kuzipeleka Zanzibar.

Hii inajionyesha hata kwa biashara na nchi zingine za Afrika mashariki. Ushuru ni mkubwa kiasi hata wafanyabiashara wenye damu ya kimatumbi wanaona ni afadhari kupitisha mizigo Kenya na baadaye kuileta Tanganyika.

Waambie hao maprofessor, wafanyabiashara hawafuati bendera ya nchi. Wana-take advantage tu. Hivyo hakuna sababu ya kuwalaumu waZanzibar wakati wanaofanya biashara ni wengine na wana makazi Afrika mashariki nzima.

Huwezi kuendesha nchi kwa kutumia ushuru wa biashara za kuagiza tu. Ni lazima watu wazalishe hicho ndio kitu we haven't done for ages.
 
Visiwani ni mzigo mkubwa sana kwa Bara na hii inajulikana kwa siku nyingi!

Yet Visiwani hawaachi bado kulalamika na kulia lia kila siku!

Sasa komoro nao wanaomba kujiunga na bara..sasa sijui mizigo yote ya Zanzibar na Komoro- je bara wataweza?

Historia inaonyesha kuwa sehemu zote zilizotawaliwa na uswahili (uislamu) hazina maendeleo maana watu ni wavivu na wanaendekeza mno ushirikina [angalia mikoa yote ya ukanda wa Pwani (except DSM), Tabora na Kigoma]. Hata Dar es Salaam angalia wilaya ya Temeke. Nchi nyingi za Kiislamu zilizopiga hatua kubwa ya kimaendeleo kama vile Malaysia, UAE, Indonesia etc) zimekuwa westernised kwa kiasi kikubwa. Maendeleo yameletwa na wakuja (wawekezaji au wahamiaji). Malaysia imesaidiwa sana na wachina-Malay, Indonesia wawekezaji vikiwemo viwanda vya Toyota, UAE, wamarekani hasa bandarini (Dubai) na hata MD wa Emirate Airlines ni mzungu. So Zanzibar real ni mzigo mkubwa kwa bara na hili halina ubishi.
 
Last edited:
Historia inaonyesha kuwa sehemu zote zilizotawaliwa na uswahili (uislamu) hazina maendeleo maana watu ni wavivu na wanaendekeza mno ushirikina(angalia mikoa yote ya ukanda wa Pwani except DSM, Tabora na Kigoma).


Kumbe uswahili ni uislamu? Ni vizuri kujua kwamba hata wewe uliyeandika uswahili ni muislamu. Kumbe Tabora na Kigoma nako ni ukanda wa pwani?
 
Historia inaonyesha kuwa sehemu zote zilizotawaliwa na uswahili (uislamu) hazina maendeleo maana watu ni wavivu na wanaendekeza mno ushirikina(angalia mikoa yote ya ukanda wa Pwani except DSM, Tabora na Kigoma). Hata Dar es Salaam angalia wilaya ya Temeke. Nchi nyingi za Kiislamu zilizopiga hatua kubwa ya kimaendeleo kama vile Malaysia, UAE, Indonesia etc) zimekuwa westernised kwa kiasi kikubwa. Maendeleo yameletwa na wakuja (wawekezaji au wahamiaji). Malaysia imesaidiwa sana na wachina-Malay, Indonesia wawekezaji vikiwemo viwanda vya Toyota, UAE, wamarekani hasa bandarini (Dubai) na hata MD wa Emirate Airlines ni mzungu. So Zanzibar real ni mzigo mkubwa kwa bara na hili halina ubishi.

Mbona Tanzania tunaimba wimbo wa wawekezaji wa nje waje kuwekeza kwa nini hao wakristo walioendelea wasiwekeze? Ndugu tusichanganyane umaskini unawaandama wakrito na waislamu pia na hapa maadui zetu wanaochochea umaskini iwe zanzibar au bara tunawajuwa na hao ndio tunatakiwa tupambane nao. Zanzibar ni mzigo kwa sababu tumeamua uwe mzigo otherwise hakuna anayetulazimisha kuubeba ni sisi wenyewe na kihelehele chetu kwa jina la Muungano wa serikali Mbili badala ya serikali Tatu
 
Historia inaonyesha kuwa sehemu zote zilizotawaliwa na uswahili (uislamu) hazina maendeleo maana watu ni wavivu na wanaendekeza mno ushirikina(angalia mikoa yote ya ukanda wa Pwani except DSM, Tabora na Kigoma). Hata Dar es Salaam angalia wilaya ya Temeke. Nchi nyingi za Kiislamu zilizopiga hatua kubwa ya kimaendeleo kama vile Malaysia, UAE, Indonesia etc) zimekuwa westernised kwa kiasi kikubwa. Maendeleo yameletwa na wakuja (wawekezaji au wahamiaji). Malaysia imesaidiwa sana na wachina-Malay, Indonesia wawekezaji vikiwemo viwanda vya Toyota, UAE, wamarekani hasa bandarini (Dubai) na hata MD wa Emirate Airlines ni mzungu. So Zanzibar real ni mzigo mkubwa kwa bara na hili halina ubishi.

Mijitu mipumbavu utaijua tu. Mada inasema kitu kingine na wewe unazungumza kitu kingine.
 
Kumbe uswahili ni uislamu? Ni vizuri kujua kwamba hata wewe uliyeandika uswahili ni muislamu. Kumbe Tabora na Kigoma nako ni ukanda wa pwani?

Ukanda wa Pwani una mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga, Mtwara na Lindi. Tabora na Kigoma ni nyongeza, uwe mwepesi wa kuelewa
 
Last edited:
Historia inaonyesha kuwa sehemu zote zilizotawaliwa na uswahili (uislamu) hazina maendeleo maana watu ni wavivu na wanaendekeza mno ushirikina(angalia mikoa yote ya ukanda wa Pwani except DSM, Tabora na Kigoma). Hata Dar es Salaam angalia wilaya ya Temeke. Nchi nyingi za Kiislamu zilizopiga hatua kubwa ya kimaendeleo kama vile Malaysia, UAE, Indonesia etc) zimekuwa westernised kwa kiasi kikubwa. Maendeleo yameletwa na wakuja (wawekezaji au wahamiaji). Malaysia imesaidiwa sana na wachina-Malay, Indonesia wawekezaji vikiwemo viwanda vya Toyota, UAE, wamarekani hasa bandarini (Dubai) na hata MD wa Emirate Airlines ni mzungu. So Zanzibar real ni mzigo mkubwa kwa bara na hili halina ubishi.

Rafiki yangu mimi mkkristo sijui wewe. ninacho taka kusema ni kwamba wewe hapa unaleta udini usio faa na haipendezi. Hao wazungu maendeleo wameipata kwa kukandamiza nchi zingine ikiwa Afrika yetu sasa sijui unaongea pumba gani. Ukisema nchi kuendelea ni kufuata uzungu basi wewe una tetea watumwa walio tolea Afrika kwenda marekani, basi wewe una tetea ukoloni na basi wewe una tetea ukandamizaji. Ndiyo maana hatuendelea kwa watu wanao papatikia wazungu. kwa taarifa yako hakuna watu wabaya kama hao wazungu wako. It is better to be lazy then to oppress the majority for profits. Uvivu tabia siyo dini bora useme mtu ni mvivu ila siyo ni mvivu kwa sababu ya dini yake. I am a devoted Christian & I respect every other religion. ndugu yangu haufai.
 
Ukanda wa Pwani una mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga, Mtwara na Lindi. Tabora na Kigoma ni nyingeza, uwe mwepesi wa kuelewa

Siwezi kuwa mwepesi wa kuelewa kama unaandika lugha ngumu.

Una maana gani unaposema kuwa Tabora na Kigoma ni nyingeza?

Unajua maana ya except na matumizi yake?
 
I'm not worried about Zanzibar's economy if the Union is dissolved....countries like Iran, Iraq, Egypt, Syria, Saudi Arabia and even Germany would seize the opportunity to "own" the Island.
 
"But according to the authors of the book, there is no denying that
it is Zanzibar that needs the union the most.

Maliyamkono warns that dissolution of the union would be
economically disastrous to Zanzibar."


Huo ni upotoshaji wa hali ya juu. Anataka kutuaminisha kuwa Zanzibar haiwezi kusimama peke yake kama Taifa bila kuwa ndani ya Muungano? Du! I can not buy that idea. Hata kama mimi ni mtu wa bara I believe for sure that Maendeleo ya Zanzibar yamecheleweshwa kwa kuwa ndani ya Muungano. Kadri umaskini unavyoongezeka bara ndivyo unavyosambaa mpaka visiwani. Mbona visiwa vya sychelles na Mauritius vina mazingira kama ya Zanzibar havijaungana na nchi yoyote na bado vinapeta kuichumi? Tafiti zingine hufanywa kuwaridhisha wale waliowapa tenda ya kufanya hizo utafiti. Tusichukulie tafiti for granted lazima ziwe subjected to scrutine.
Mai Broda,usisahau kwamba muungano ukivunjika tu chances are wapemba watachinjwa kama kuku,na maskini sijui watakimbilia wapi.
 
..utafiti uliofanywa na Prof.Teddy Malyamkono na wasomi wenzake umebaini kwamba Zanzibar ni mzigo mkubwa kwa wa-Tanganyika.

..ningeshauri kila Mtanganyika asome kitabu cha Prof.Maliyamkono.

..ikiwezekana kitabu hicho kitumike mashuleni, kwenye madrasa,sunday school, jando, unyago, etc etc


wenyewe wanajitutumua utafikiri wanakitu! ingekua kama ndoa za kupeana taraka rejea, basi tungewapa taraka ya mwaka mmoja, then tunawarudisha wakiwa na adabu!

inawezekana ndio maana hatuendelei
 
Mimi nilidhani mikoa ya "pembezoni" imekosa maendeleo kutokana na miundo mbinu mibovu na tafiti mbalimbali zimeonyesha hivyo. Lakini JF ni jungu kuu leo nimepata elimu nyingine kumbe tatizo ni uislam.... though Im not sure na idadi ya waislam huko Rukwa, Ruvuma nk....
 
Kama hali ni hiyo iloelezwa katika hicho kitabu na Wadanganyika anayaamini hayo basi suluhu ni ndogo tu na wao waseme kuwa hawautaki Muungano au ufanyiwe marekebisho kama wenzao wa Zanzinar wanavyodai kila siku.
 
Huo ni upotoshaji wa hali ya juu. Anataka kutuaminisha kuwa Zanzibar haiwezi kusimama peke yake kama Taifa bila kuwa ndani ya Muungano? Du! I can not buy that idea. Hata kama mimi ni mtu wa bara I believe for sure that Maendeleo ya Zanzibar yamecheleweshwa kwa kuwa ndani ya Muungano. Kadri umaskini unavyoongezeka bara ndivyo unavyosambaa mpaka visiwani. Mbona visiwa vya sychelles na Mauritius vina mazingira kama ya Zanzibar havijaungana na nchi yoyote na bado vinapeta kuichumi? Tafiti zingine hufanywa kuwaridhisha wale waliowapa tenda ya kufanya hizo utafiti. Tusichukulie tafiti for granted lazima ziwe subjected to scrutine.[/QUOTE]

mkuu angalia kauli yako tena! Umewahi kufanya kazi Zanzibar mzee? Kama bado jaribu kuuliza waliowahi kufanya kazi huko alafu ufananishe ufanyaji kazi wa waZanzibari na wabara (sio wote please ila majority) alafu ndio uibuke na kauli kama hizi.
Ukweli unabaki pale pale, muungano wetu una maslahi kwa baadhi ya wakubwa na nadhani ni ya kisiasa zaidi, na si kwa mtanganyika au mzanzibari wa kawaida, maana katika mazingira ya kawaida, wabara hawautaki wazanzibari hawautaki lakini UNANG'ANG'ANIWA!
 
Kosa kubwa alilolifanya Marehemu Mzee Karume ni Kuchukuwa Nchi ya Watu Waungwana na Kuwaunganyisha na Watu wasio na Utaratibu wowote. Kwa kosa hilo alilolifanya Karume akiwa sio raia wa Zanzibar leo kwa kipindi kirefu limeleta Maumivu makubwa sana kwa Wazanzibari kwani hivi sasa wamekuwa ni Dhaifu mbele ya Watanganyika.

Zanzibar ilikuwa ni Nchi Kamili ikiwa na KITI chake UN na ikijiongoza kwa kuwahudumia watu wake kwa kila fani kuanzia Elimu, Afya, Ajira na hatukupata Kusikia katika Historia kuwa WAZANZIBARI Walikuwa Omba Omba walijimudu kwa kila kitu, na ndio maana wa wakati huo walisema ZUMARI LIKIPULIZWA ZANZIBAR WALIO KATIKA MAZIWA MAKUU WANACHEZAAA, haya haya kuwa maneno ya mchezo Wakicheza kweli na ndio ikwa sehemu ya HUSUDA Kwa Zanzibar hasa kwa wale waliokuwa na chuki kwa watu wa VISIWA, walijaribu na kufanikiwa kuingiza siasa za Chuki na Fitina na Mwishowe Mgeni kutoka KONGO (KARUME) Akajinyakulia Nchi Njema na kuitumbukiza katika Tanuri la Moto la MUUNGANO.

Hebu iachieni na Muuone kwani hizio sababu za Kijinga kuwa Watauuwana kati ya Unguja na Pemba zinaukweli gani? Waliouwa watu wa Visiwa hivi wapatao 13000 ni kutoka bara na Waliletwa na Julius Nyerere, Kambona, John Rupia, Rashid Kawawa, hawa ndio Waandalizi wa Mapinduzi ya Mauaji kwa Zanzibar, nani asie juwa kama hamjui tunakujuilisheni kuwa Kilichotokea Zanzibar tarehe 12.1.1964 sio MAPINDUZI NI MAVAMIZI yaliosimamiwa na JULIUS NYERERE akimtumia MKONGO ABEID KARUME na WATANGANYIKA na ndio maana wakatunzwa kuwa MEMBA WA BARAZA LA MAPINDUZI LA MWANZO nao ni

ABDALLAH SAID NATEPE
KANAL SEIF BAKARI

HASSAN NASSOR MOYO
JOHN OKELLO
SAID WASHOTO
KHAMIS DARWESHI
KHAMIS HEMEDI NYUNI
ABDULLA KASSIM HANGA
SALEH SADALLA
ABDUL AZIZ TWALA

MAVAMIZI ya Zanzibar ni Uchafu mtupu na ni udhalimu wa hali ya juu kwa Taifa Dogo lililokuwa likiendelea kwa Kasi dhidi ya TAIFA Kubwa lilokuwa halina DIRA WALA MUELEKEO matokeo yake ni haya tunayoyaona na kuyashuhudia hivi sasa.

ZANZIBAR IACHWE PEKE YAKE NA MUUONE TENA ZUMARI LITAKAVYO PULIZWA MTACHEZA NYOTE
 
"But according to the authors of the book, there is no denying that
it is Zanzibar that needs the union the most.

Maliyamkono warns that dissolution of the union would be
economically disastrous to Zanzibar."


Huo ni upotoshaji wa hali ya juu. Anataka kutuaminisha kuwa Zanzibar haiwezi kusimama peke yake kama Taifa bila kuwa ndani ya Muungano? Du! I can not buy that idea. Hata kama mimi ni mtu wa bara I believe for sure that Maendeleo ya Zanzibar yamecheleweshwa kwa kuwa ndani ya Muungano. Kadri umaskini unavyoongezeka bara ndivyo unavyosambaa mpaka visiwani. Mbona visiwa vya sychelles na Mauritius vina mazingira kama ya Zanzibar havijaungana na nchi yoyote na bado vinapeta kuichumi? Tafiti zingine hufanywa kuwaridhisha wale waliowapa tenda ya kufanya hizo utafiti. Tusichukulie tafiti for granted lazima ziwe subjected to scrutine.

Tupatie tafiti zako zinazopingana na hoja za Malyamkono.
 
Back
Top Bottom