BUSARA6
JF-Expert Member
- Jan 8, 2007
- 357
- 51
Si wameolewa wazanzibari, ubaya gani tena kuwapa mahari kila Mwaka kila mzanzibari 1202$ ?
Nikiwa mke na hutaki niendelee, unlaumiani?
kwanza umeniowa kwa ndoa isio na talaka, kila miaka mitano untia mimba ya mtoto wako, kisha wamsingizia mwanharamu! hee mdanganyika, unzidi!
Niache basi na ndoa iso talaka, uone nafa au ntaishi!
Hivi hii posa ya muungano aliyeileta nani?
Good point!