Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Ni UPUMBAVU kutoa comments kwenye public platform, tena yenye replying option halafu utategemea utadi-dictate aina ya maoni yatakayofuata. Just Hilo.Umeandika hivi. Bila mimi kukuomba unisaidie kujua mjadala upi nichangie.
Mimi sina muda huo wa kutoa msaada kwasababu, msaada unaoupata kwa wazungu unakutosha kabisa.Sihitaji msaada wako kujua mjadala wa kuchangia, siku nyingine usiniletee kiherehere chako.
Mute the reply button, then you'll be good to go.Maneno yako haya.
"Mkuu, ukikutana misukule wa Mbowe wanamjadili Zitto wewe endelea na Maisha yako.
Hakuna mjadala wa maana wowote utaukuta Hapo.
Siku zote wanasiasa wote ambao huwa wanakosana na Mbowe huwa wanapotea kwenye siasa, sasa huyu Zitto anaonekana Ni kichwa ngumu ndio maana vimjadala uchwara kama hivi kutoka kwa Hawa wafuasi wake Mbowe vimeshindwa kuisha.
Kumbuka, siku zote ukikosana na Mbowe wewe ndio MKOSAJI."
Vinginevyo, narudia huna uwezonwa ku-dictate aina ya comments kwenye reply button.
Huo uwezo huna, na hutakuwa nao mpaka unakufa.
Get used to that.