Usaliti watawala udom

ndogwila

Member
Jan 10, 2011
21
3
habari zilizonifikia hivi punde zinaonesha hali kuwa mbaya zaidi ktk mgomo wa wanafunzi udom(coed)pale ambapo wachache wanaojipendekeza kwa wakubwa wa chuo kuingia madarasani huku wengine wakiendelea na mgomo na kusimamia madai yao ya msingi.hali hii inahatarisha maisha ya wanaharakati wa kutetea haki chuoni hapo.wasaliti hao wachaache wanojiita mwaka wa tatu wanasema hawana sababu ya kugoma kwa kuwa wamebakiza siku chache chuoni huku wakishirikiana na utawala kuuzima mgomo huo ili kumridhisha waziri mkuu mh.Pinda kwamba ametatua mgogoro huo lakini kiukweli alitatua wa wahadhili tu na kuignore ule wa wanafunzi.
 
Duh!this is 'divide and rule policy' inayotumiwa na vice chancellor wa udom!ni mbinu nzuri ya kiutawala!!
 
Kwani hao mwaka wa tatu hawana wadogo au ndugu zao wanaosoma/watakaosoma UDOM baadae? Kama kweli kuna madai ya msingi yanapaswa kuungwa mkono na wanafunzi wote bila kujali ni mwaka wa kwanza au finalist. Wanapaswa kufahamu kwamba hizo stahili wanazopata ikiwa ni pamoja na sh. 5000 za boom zilipiganiwa na watu wengine miaka ya nyuma lakini wao leo wananufaika. Hivyo nawasihi wanafunzi hao wa mwaka wa tatu wasiwe na ubinafsi..
 
sure, hapa ndio utaamini kuwa waafrika wengi hawapendi kuangalia future zaidi ya kujiangalia wenyewe.
Kwanini washindwe kufikiria kuwa kutakuja wengine, ndugu jamaa hata marafiki katika chuo hicho.
Huu wote ni ubinafsi na uchoyo
Kwani hao mwaka wa tatu hawana wadogo au ndugu zao wanaosoma/watakaosoma UDOM baadae? Kama kweli kuna madai ya msingi yanapaswa kuungwa mkono na wanafunzi wote bila kujali ni mwaka wa kwanza au finalist. Wanapaswa kufahamu kwamba hizo stahili wanazopata ikiwa ni pamoja na sh. 5000 za boom zilipiganiwa na watu wengine miaka ya nyuma lakini wao leo wananufaika. Hivyo nawasihi wanafunzi hao wa mwaka wa tatu wasiwe na ubinafsi..
 
Back
Top Bottom