Usaliti unauma

Kuna kitu kwa upande wako hujasimulia hasa responds zako alipokua hapokei cm
 
Huyo wa kwako amechelewa kubadilika tena nampongeza kidogo.

Mabinti wa siku hizi akihama tu wilaya achilia mbali mkoa, anakuwa sio wako tena
Dah mwenyew she wangu alihama mkoa akaend jiji chafu dsm cjuh nilipgw kibuti kimoja hatar xana nikasema apa wanaum wa dar washafany yao
 
Jifunze ya kuwa mwanamke akiamua kukubadilikia au kulipiza kisasi hata shetani hukaa pembeni ili ajifunze kitu , katika maisha yako tambua ukimsomesha mwanamke ni kama unatoa sadaka usije ukategemea sana kile unachotarajia au mlichopanga. Katika wahanga 65% ya waliowahi kuwa na mahusiano kuanzia utotoni sio wale waliowaoa / kuolewa nao ukubwani japo waliahidiana. hebu fanya utafiti mwingine kama idadi ya asilimia imeongezeka au imeendelea kubaki vile vile
 

Mkuu pole sana. Lakini ushauri wangu ni kwamba hebu fanya mpango na wewe ukafungue vitabu kwa kwenda shule Mkuu. Ni muhimu sana. Nenda kasome mkuu.
 
Polee utakuja kumpata mwingine hadi ujiulize mbona ulichelewa kumfahamu. Saivi tulia tu
 
Pole sana ndugu makosa uliyafanya mwenyewe kuruhusu kwenda JKT na Jeshi. Hayo maeneo ni bora uwaachie wenye kwa wenyewe.
 
Ni kwa kuandika haraka haraka tu mkuu

Uwe unapitia kabla ya ku post mkuu. Umahiri wa lugha ni moja kati ya kigezo cha kutambua uelewa wa mtu. Pole sana kwa yaliyo kusibu. Kukua ni hatua. If people can walk away from you... let them walk bro.
 
Uwe unapitia kabla ya ku post mkuu. Umahiri wa lugha ni moja kati ya kigezo cha kutambua uelewa wa mtu. Pole sana kwa yaliyo kusibu. Kukua ni hatua. If people can walk away from you... let them walk bro.
I will never repeat any mistakes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…