Usaliti unauma

Poole kamanda pengine kawa kwenye kikosi maalum cha usalama akaona kwakuwa anakupenda sana hataweza kufanya kaz kwa usiri unaotakiwa akafanya uamuzi mgumu. Kwa pande zote mbili
 
Heheheh aisee, hao wengine wanakuwa kama shock absober?
 
Hehehe aisee
 
Hii ni mara ya pili nasikia hii kitu ya kuondolewa uraia, Hii ikoje mkuu?
 
Hii ni mara ya pili nasikia hii kitu ya kuondolewa uraia, Hii ikoje mkuu?
Umewahi sikia kuhusu 6 weeks bila kulala unadhani huwa wanafanya nini huko??kula nyama miaka 2 ya jkt unafikiri dhumuni lake nini??
 
Umewahi sikia kuhusu 6 weeks bila kulala unadhani huwa wanafanya nini huko??kula nyama miaka 2 ya jkt unafikiri dhumuni lake nini??
Duuh aisee ndo kinachofanyika kumbe, ndo maana asilimia kubwa hawana utu wanaishia kutusaliti.
 
Yaan kuna mambo mengine mpaka kuchangia unapata ukakasi! Yaan mke mtarajiwa unamfanyia mpango ajiunge na jeshi alafu useme akili zinakutosha! Labda kwa kuwa hujawahi ishi jeshini? Yaan huyo anapelekwa rest house mara mbili tu tayar ashakusahau. Nimpongeze kwa kujitahidi hata hivo
 
Kuna Dada yangu ni mrembo kishenzi anaolewa soon kila siku ananambia kaka yangu usithubutu kumwamini mwanamke sisi ni noma
 
Poole kamanda pengine kawa kwenye kikosi maalum cha usalama akaona kwakuwa anakupenda sana hataweza kufanya kaz kwa usiri unaotakiwa akafanya uamuzi mgumu. Kwa pande zote mbili
Ahsante aisee ila inanifundisha kitu hii
 
Kuna Dada yangu ni mrembo kishenzi anaolewa soon kila siku ananambia kaka yangu usithubutu kumwamini mwanamke sisi ni noma
Mmmmh hanakuokoa kakake sisi wengine tunataabika
 
Ukiona mwanamke anakusikiliza ujue anatatizo tatizo hilo likiondoka hatakusikiliza tena...
 
Pole sana mkuu, kuna sehemu kwenye biblia wameandika "nyumba na magari hurithiwa kutoka kwa wazazi, ila mke mwema hutoka kwa bwana" pia kuna sehemu nyingine wakataja sifa za huyo mke mwema "mke mwema ni nani aliyemwona......" unaweza fuatilia zaidi. Kwa hiyo mke mwema ni kama tunu, au zawadi ambayo unaipata toka kwa Mungu. Probably, vinginevyo ni kucheza kamari, kuna wengine wanasema unakuwa nao zaidi ya mmoja kama jamaa alivyo comment hapo ili usiumie sana endapo mmoja atakusaliti. Tatizo linakuja, huenda aliyeondoka ndo ulikuwa unampenda zaidi ya wote. Kwa hiyo utaona shida inabaki palepale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…